Dk. Slaa aibuka na Nyaraka za SIRI

haha sasa gamba linawasha au linachoma? subiri kaa mkao wa kula safari hii mtachekea bafuni! Doctor huwa hana papara kwani alipotaja ile list of shame ya mafisadi pale mwembe yanga nani alikanusha??Msigwa kasema Kagasheki alitia aibu kwenda kupokea faru toka uingereza wakati faru wapo hapa kagasheki kasema hajawahi kupokea faru Msigwa kamwaga picha kagasheki anashikana mkono na balozi mzungu kushukuru CDM we acha tuuu!!
Bado unapoteza muda wako kwa huyu. Hamna kitu huyu.
 
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Tony Blair; Legally, absence of evidence is not the evidence for absence of evidence.
 
Kama unayo kweli muzee bora uwataje tu tujue moja. Maana tumechoshwa na haya mafisadi yasiyo na huruma na uhai wa viumbe wenzao.
 
Inabidi mafisadi wote watajwe mapema kabla ya uchaguzi ili wajiondoe wenyewe ili wasiendelee kuhujumu mali za umma!
 
aiseee! Baba yangu dr.slaa na dr kikwete mbona majina yao ya mwanzo yanafanana (dr) lakini maamuzi wanayofanya ni tofauti.dr ipi ndio inadhamani ya jei kei au ya slaa?

Naombeni majibu kabla sijamaliza mbege.
hapo kuna doctor wa shule na doctor wa uchochoroni mkuu.
 
Majangiri/maharamia na majambazi wanadocument mission zao? yaani wana take minutes na kuandika action plan, i am trying to figure out hizo nyaraka who generates. Manake tunasikia mengi sasa inabidi tuwe tuna reason japo mahaba yetu yametuzidi mno.
 
Wildlife Extra News - Rhino poaching – What can be done. An ...

www.wildlifeextra.com/go/news/rhino-horn-poaching.html
How much does rhino horn sell for? Reports vary wildly, although I've seen prices quoted as high as US$60,000 per kg for powdered horn in Vietnam.

Khaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!! kumbe ni dili nzuri hivyo mzee??? Na pembe moja inafika Kgm ngapi kwa faru mkubwa??? Aiseeeeeeeeeeeee yawezekana wauzaji ni wazee wenyewe kama bei yake ndo hiyo Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
 
CCM maliza nchi, wanasema wanahakikisha wanaiachia CDM nchi isiyokuwa na kitu ila cha ajabu ni kwamba wao na watoto wan na ndugu zan wanabaki kuishi hapahapa Tz
 
Dokta tunza hizo nyaraka mpk 2015 sio mbali sababu ukiwataja sasa utambiwa ushahidi hautoshi.2015 CDM ikikamata nchi tunakusanya mijizi yote kuanzia EPA,RADA,MEREMETA,KAGODA TUNAMALIZIA WA FARU wote ukonga hadi wale watakaokuwa na kinga hatuangalii sura.
 
dr. Slaa ni tapeli la kimataifa, likitudanganya tukirigundua linakaa kama miezi 6 hivi. Halafu anakuja na mpya. Mbona hasemi rushwa anaochukua zito? Au kwa vile jioni wanagawana. Mbona hasemi juu ya wachaga kujipawia UBUNGE WA VMAALUM NA KUTUACHA WASUKUMA TUKISUGUA BENCH PAMOJA NA KUKIBEBA CDM KWA KURA! Mbona hasemi juu ya kufisadi mke wa mtu huku akimwacha mama slaa na kutelekeza watoto 2. Mbona hasemi alishirki kum/poteza camanda chacha wangwe. Akitupa wana cdm majibu hayo tutamwamini anayosema. Slaa nakukumbusha kudai nyöngeza ya mshahara wa bunge maana wewe unalipwa kama mbunge wetu bila huruma wala aibu. M4c
 
Safi sana! Big up Dr wa ukweli.
Hahaha River rejuvination ni topic niliyoipenda sana A-Level lakini haikutoka kwenye mtihani wa taifa sasa DR anataka kuitoa bila hata supervision, safi sana go on huko maliasili ni uozo mtupu
 
Dr wa ukweli ednelea kuchanja mbuga
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
 
dr. Slaa ni tapeli la kimataifa, likitudanganya tukirigundua linakaa kama miezi 6 hivi. Halafu anakuja na mpya. Mbona hasemi rushwa anaochukua zito? Au kwa vile jioni wanagawana. Mbona hasemi juu ya wachaga kujipawia UBUNGE WA VMAALUM NA KUTUACHA WASUKUMA TUKISUGUA BENCH PAMOJA NA KUKIBEBA CDM KWA KURA! Mbona hasemi juu ya kufisadi mke wa mtu huku akimwacha mama slaa na kutelekeza watoto 2. Mbona hasemi alishirki kum/poteza camanda chacha wangwe. Akitupa wana cdm majibu hayo tutamwamini anayosema. Slaa nakukumbusha kudai nyöngeza ya mshahara wa bunge maana wewe unalipwa kama mbunge wetu bila huruma wala aibu. M4c

Naona magamba yameishaanza kubana huyo ndio Dr. safari hii mtasema yote bila kuulizwa.
 
Majangiri/maharamia na majambazi wanadocument mission zao? yaani wana take minutes na kuandika action plan, i am trying to figure out hizo nyaraka who generates. Manake tunasikia mengi sasa inabidi tuwe tuna reason japo mahaba yetu yametuzidi mno.

kwani Richmond document zake zilikuaje hapo hukumbuki ? Sasa unashangaa za faru?
 
Bila shaka huyu mzee anatembea na sanduku la document za siri,naona zimekuwa nyingi sana. Kina Zitto wanakuja na mambo mapya yeye kakalia stori za document za siri. Hili ndio tatizo la wazee,wao ni mambo ya kizamani zamani tu.
 
Dr Slaa ebu wataje hao vigogo tuwajue sio tu kusema unazo nyaraka za siri Dr Slaa, ulishawai kutuambia kuwa kuna umekamata kontena mbili umezikamata Tunduma zimejaa karatasi za kupigia kura kutoka China zilipolikuja kufunguliwa na polisi mbele ya viongozi wa Chadema wakakuta vipodozi Dr Slaa akawakimbia waandishi wa habari...tumeishakuzoea.
Na wewe. Wimbo wako huu huu kila siku. CD haichuji tu mkuu
 
Back
Top Bottom