Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Bado unapoteza muda wako kwa huyu. Hamna kitu huyu.haha sasa gamba linawasha au linachoma? subiri kaa mkao wa kula safari hii mtachekea bafuni! Doctor huwa hana papara kwani alipotaja ile list of shame ya mafisadi pale mwembe yanga nani alikanusha??Msigwa kasema Kagasheki alitia aibu kwenda kupokea faru toka uingereza wakati faru wapo hapa kagasheki kasema hajawahi kupokea faru Msigwa kamwaga picha kagasheki anashikana mkono na balozi mzungu kushukuru CDM we acha tuuu!!