dr. Slaa ni tapeli la kimataifa, likitudanganya tukirigundua linakaa kama miezi 6 hivi. Halafu anakuja na mpya. Mbona hasemi rushwa anaochukua zito? Au kwa vile jioni wanagawana. Mbona hasemi juu ya wachaga kujipawia UBUNGE WA VMAALUM NA KUTUACHA WASUKUMA TUKISUGUA BENCH PAMOJA NA KUKIBEBA CDM KWA KURA! Mbona hasemi juu ya kufisadi mke wa mtu huku akimwacha mama slaa na kutelekeza watoto 2. Mbona hasemi alishirki kum/poteza camanda chacha wangwe. Akitupa wana cdm majibu hayo tutamwamini anayosema. Slaa nakukumbusha kudai nyöngeza ya mshahara wa bunge maana wewe unalipwa kama mbunge wetu bila huruma wala aibu. M4c