Amina .Mithali 11:6 imeandikwa, haki yake mwenye haki itamwokoa, bali yeye afanyaye fitina, atanaswa katika hila zake.
Kwahiyo mnakiri kwamba maalim alipata ridhaa ya walio wengi kwenye uchaguzi (wa 25 oct sio lile igizo lenu) shida tu ni kwamba hamtaki kumkabidhi nchi?Kamwambie maalim aache fikra za ki sultani ndipo tutamkabidhi nchi siyo propaganda hizi mnazotuwekea hapa mtandaoni
Kwakweli kama jecha atapewa tuzo..watu wengine wote ambao wameshawahi kupewa tuzo huko nyuma na wanajiheshimu itabidi wazirejeshe. Ni dhihaka kuwekwa kwenye kundi moja na jecha.Tena Mkulu aliushangaza Ulimwengu kwa kutamka hadharani kuwa mastermind wa wi.. zi wa kura wa Zenji Jecha eti anastahili kupewa nishani ya utumishi uliotukuka!
Pengine Mkulu alikuwa anamaanisha kuwa Jecha anastahili nishani iliyotukuka kwa 'ukibaka' wa kura za wazanzibari kwenye uchaguzi mkuu wa October 25 mwaka jana.......
Aliyasema hayo kwenye baraza la eid jana. Hata mwananchi waliripotiSidhani kama kweli dr.shein kayatamka haya ulioyaandika! Na kama kayasema kweli, atakuwa anaenda kinyume kbs na kauli ya mkuu wa kaya* tuwekee clip tiamini*
Mbona dk 5 zimepita hajamaliza tatizo la Bkb? !Shein wakileta fyokofyoko niambie... haipiti dakika 5 sijawashughulikia..
Jpm mwana diplomasia ambaye hajawahi kutokea tangu Tz izaliwe... analiyeleta muunganiko pemba na unguja kwa maneno yake ya busara.
Umenielewa tofauti anyway nenda kwenye andiko langu kuhusu la muendelezo wa safari ya RAIS magufuli na demokrasia ya wapinzani utapata jibu lako au angalau utapata mwanga kwa kuwa nimeelezea kinagaubaga kila aina ya uchafu na propaganda zilizokuwa zinaenezwa hapa mtandaoKwahiyo mnakiri kwamba maalim alipata ridhaa ya walio wengi kwenye uchaguzi (wa 25 oct sio lile igizo lenu) shida tu ni kwamba hamtaki kumkabidhi nchi?
Hivi wajinga kama nyinyi bado mupo Tanzania?Kamwambie maalim aache fikra za ki sultani ndipo tutamkabidhi nchi siyo propaganda hizi mnazotuwekea hapa mtandaoni
Na za kwako zina strokeAkili za ukawa ni za ajabu sana
Na hawa nao eti wamo kwenye kundi la great thinker! Aibu.Kamwambie maalim aache fikra za ki sultani ndipo tutamkabidhi nchi siyo propaganda hizi mnazotuwekea hapa mtandaoni
Umemaanisha nini?. ukisema "fikra za kisultani"'Kamwambie maalim aache fikra za ki sultani ndipo tutamkabidhi nchi siyo propaganda hizi mnazotuwekea hapa mtandaoni
Zaidi ya kumtukana mama wa mtu tusi la nguoni.Kama hamjielewi wazanzibar mtakorogwa sana na watanganyika, wakati mkiwa na uhakika uchaguzi wenu ulivurugwa eti mnaambiwa mmpe Jecha nishani, bado hamwoni mnatukanwa kiaina?
Unaposema mtamkabidhi nchi, inamaana hii nchi mmejimilikisha?Kamwambie maalim aache fikra za ki sultani ndipo tutamkabidhi nchi siyo propaganda hizi mnazotuwekea hapa mtandaoni