Dk. Shein aomba suluhu Z’bar

Dk. Shein aomba suluhu Z’bar

Ukawa wamefanya nini? Kwan huwezi kuijadili mada katika uhalisia wake na ukaweka unafiki pembeni? Maana kama unafiki ndio tabia yao nadhan hata familia yako imegawanyika pia, ni kipi usicho kijua kuhusu zanzibar hadi useme ukawa wanamatatizo au ndio kujisahaulisha?
Anamuwaza Lowassa.
 
''...Kwenye baraza hilo Dk. Shein ameeleza kuumizwa na namna mgawanyiko visiwani humo ulivyo mkubwa na kuwataka kuwa wamoja...''

Waafrika tuna mazoea mazuri ya kushughulikia matokeo ya tatizo badala ya kushughulikia tatizo. Unashangaa kwa nini tupo hivyo?!
 
Huwezi kupinga hoja thabiti kama huna hoja thabiti na hapo zaid ni kuukimbia mjadala, huwezi kunipuuza kwa sababu nasimamia ukweli ulio kuchoma siamini katika unafiki na uongo naamini katika ukweli na uwazi unapenda kusikiliza taarifa za upande unao furahisha moyo wako hata kama ni za uongo ,nadhan unatakiwa kujifunza kusimamia uhalisia kwanza kabla hujatanguliza UCCM AU UCUF AU UCHADEMA mbele na nasisitiza tena SIUPENDI UNAFIKI NA SITAUPENSDA KAMWE.
Mkuu naona umekariri haupo tiyari kabisaa kuupokea mawazo ya watu wengine
 
Back
Top Bottom