johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Kwa mujibu wa Mwakyembe ni kwamba Possi alipoteuliwa tu ubalozi na ubunge wake ulikoma palepale.Sasa anaanzaje tena kujiuzulu?Aseme tu ameandika barua ya kuliaga bunge maana haingii tena bungeni.Alipaswa aseme hivi..
"Nimelazimishwa kujiuzuru ili rais atimize matakwa yake ya kikatiba"
Kwahiyo kama hao walikosea basi na sisi tufanye hivyo hivyo. Akili yako ni yakufugia kuku tu.poleLabda tusaidiane kidogo. Bush aliposema Sadam ana silaha za nyuklia alikosea au hakukosea. Mwinyi alipompandisha Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu, alikosea hakukosea. Mkapa aliponzisha kampuni ilikiwa na anuani ya Ikulu alikosea hakukosea. Mseveni anapopandisha na kuwapa madaraka mkewe na watoto wake anakisea hakosei. Kibaki alipojiapisha ikulu harakaharaka baada ya kugeuza matokeo ya kura je.
Ukimaliza hayo na mengine meeengi, laumu hili.
Teh teh teh tangu Magu aingie magogoni sijawahi kuona inapita wiki bila kufanya vituko vyenye uvunjifu wa katiba na nimeamini kweli hataki ushauri wa mtu yoyote kabla ya kufanya maamuzi. Haya ndiyo madhara ya kujifanya anajua kila kitu sasa ndiyo anaitia Nchi machakani hatujui tunakwenda wapi hii ni sawa na Marubani kufa wakati ndege ipo anganiAsema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.
Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.
Chanzo:Mtanzania
Swali:
Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Dr. Makongoro Mahanga ukitoa ushauri mzuri wa kikatibaAsema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.
Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.
Chanzo:Mtanzania
Swali:
Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Kama topic imekuzidi unaweza kuacha usijadili. Kuandamana marekani ni haki ya kikatiba na wala wenzio kule usifikiri ni kama huku ,katiba inafuatwa na inaheshimiwa kuliko unavyodhani.Hayo ni maneno tu, wewe unafikiri ingekuwa hivyo kule Marekani wangeandamana? Fungua macho uone reality na uache kukremishwa. Kuna ideal world na real orld, wewe baki sasa na hivyo vikatiba vyako uone watu wanavyopiga kanyaga twende. Ni utashi tu baba, dunia ndivyo ulivyo, kama hukujuaga ipate leo
We unaongea nini?Sasa mmeona ilivyo ngumu kwenu ukawa kumpiku Magufuli kwenye siasa? Jembe linaendelea kuchapa kazi.
Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.
Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.
Chanzo:Mtanzania
Swali:
Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Huyo hapo ni wewe?nilijuaga mtukufu hakoseagi mweee
Mmh kwani ubunge hakuutumikia ama kweli huko ni kuziba mahandaki tena ya IRAQuteuzi ulikuwa batili kwa vile possi kajiuzulu baada siyo kabla ya uteuzi hivyo sanasana ni kuziba mahandaki wapaswa kuomba msamaha tu hakuna ubabaishaji hapo
Mkuu usiwahusishe wanasayansi na mambo ya kipuuzi.Aliwahi kuwaita wanafunzi vilaza kumbe na yeye pia kilaza kwa tukio hili sio kuikiuka tu katiba Bali ameikokojolea katiba nishapata jibu kumbe wanasayansi wanapata tabu sana kuongoza nchi
We kenge kama nia ya babu yako ilikuwa siyo kuvunja katiba angemteua kwanza balozi kabla ya kuwateua wabunge.Kuna mijitu wajinga humu, eti katiba imevunjwa Mara inachezewa, wapi katiba imevunjwa au kuchezewa???
Rais sio kwamba alikuwa hajui kateua wanaume 6 alikuwa anajua Sana ingekuwa kosa tu kama angewaapisha prof. Na bulembo ila kabla hajaapisha akatengua nafasi ya Posi na kabla hajaapisha Posi kajiuzulu. Sasa nyie mabush lawyer tuelezeni wapi kavunja au kachezea katiba, mmekurupuka Rais kacheza na technicalities za kikatiba.
Nakushauri uachane na mijadala mizito kama hii.akili yako inakutosha kufugia kuku tu.Tatizo bila matukio hamna cha kusema, je unajuaje walipanga iwe hivyo? Wanajua ninyi watu wa matukio, hivyo wawatengenezee tukio ili wiki nzima mkimbie nalo na msifanye mambo productive kwenu. Au tuseme ni kweli walikosea, na sasa wamerekebisha, je ni vibaya kurekebisha makosa? Kuna asiyekosea? Msiwe watu wa matukio sana. Jifunzeni kuibua agenda mpya na kuwa na ubunifu japo kidogo.
Hii serikali bwana kila siku ni teuzi nakumbuka mwaka uliopita Mourinho nusu aishushe daraja chelsea kwa sababu hana kikosi maalumu cha first eleven (hakujipanga)
Pamoja na pangua yote hiyo sijaona dalili za viwanda kama kuwa train watu(human capital) wala kufanyia utafiti wa masoko na viwanda vya bidhaa zinazohitajika na ni wapi?
Anatumia tight monetary policy ila inapingana na kanuni cha uchumi inflation iko juu na exchange rate na dolla inazidi kupanda (nina wasiwasi BOT hamna nyakati mbaya ambazo wamepitia kuingilia uhuru wao kama hizi) haiji akilini kwenye nchi changa kama yetu utoe amri ya billions of money zitumike kufanyia kitu fulani ukiwa jukwaani
Conclusion-nchi inaendeshwa sana na utashi wa mtu
Salary Slip; acha movie iendelee ingawaje sikumbuki tuliishia episode gani vile!?Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.
Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.
Chanzo:Mtanzania
Swali:
Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Kama ulikuwepo. Nafuga kuku 10,000. Na sasa hivi najenga mabanda ya kufuga kuku 10,000 zaidi. Hongera wewe usiyejua maana ya hija badala yake unakuja na kebehi.Kwahiyo kama hao walikosea basi na sisi tufanye hivyo hivyo. Akili yako ni yakufugia kuku tu.pole