Dk Mwakyembe arejea nchini

Dk Mwakyembe arejea nchini

Karibu saana mpambanaji wetu, mwenye uwezo wa mwisho ni Mungu pekee na ndilo tumaini letu pekee hakuna mwingine anayestahili kushukuliwa!!!!!!! Ubarikiwe mpambanaji wa ufisadi ili urudi kilingeni kazi ndio mwanzo imeanza!!!!!!!

 
Tumshukuru Mungu kwa wema wake na mapenzi yake kwa waja wake, lisilowezekana kwa binadamu kwa Mungu linawezekana. Tuzidi kumuombea Dr. Mwakyembe afya yake izidi kuimarika na hatimaye aendelee na shughuli za ujenzi wa taifa. Welcom back Dr. Mwakyembe
 
Dr,
Hivi huwezi kuishi maisha ya kawaida kwa kutegemea mshahara wa ubunge na kutoa mihadhara katika vyuo vikuu?. Nashauri uache kazi ya Unaibu uwaziri ukipinga kuitumikia serikali ambayo ilishindwa kuyafanyia kazi malalamiko yako ya kutishiwa maisha yako. Kama huwezi kuujali uhai wako, hakuna mwingine anayeweza kuujali zaidi yako. Fedha hazina mwisho lakini uhai una mwisho. Ni heri kuishi ukiwa maskini na amani kuliko kuishi kama mfalme ukizingirwa na hofu ya kutolewa uhai wako

Kazi ya shetani ni moja kuharibu na kuua, haijalishi shetani aje akuchekee na kukufadhili na kuwa mwema kwako, lakini lengo lake la mwisho ni uharibifu tu. Huu n i mtihani wako wa pili, watu walikushauri ukatae kazi ya uwaziri lakini ulikubali, matokeo yake umeyaona. Mbona majaribio ya kukuua yalikuwa ni mengi sana kuanzia yule bibi (Kabhele) mchawi wa kutoka Malawi, ajali ya mlima nyoka, ajali ya Iringa, Alshaabab n.k. Mbona yote yalishindwa?. Unajua kwanini? ulikuwa umesimama kwenye haki

Safari hii yalielekea kufaulu kwasababu wewe mwenyewe uliamua kujiunga na kundi la waovu, japo wewe ni mjuaji sana lakini umeshindwa kujua siri kubwa iliyopo, ambayo sisi watazamaji tunaona wazi kabisa kuwa unaibu uwaziri umekuwa lango la kuingiza adui ndani mwako.

Ushauri wangu kwako jitoe haraka sana serikalini. Sifa moja kubwa ya mwanasheria wa kweli ni kusema ukweli.....................hebu tupe mtazamo wako kuhusiana na hayo yote yanayokutokea. Naomba uwe wazi hata kama ni hisia sema kuwa japo sina uhakika nahisi ni moja, mbili, tatu n.k.

Mungu amekuepusha na kifo ili uje uweke record sawa. Pia yale uliyoyoacha kwenye Ripoti wkati ule sio mbaya kama utayagusia. Hakuna siri tena, mbona EL juzi kwenye NEC kagusia ripoti ya siri ya uchaguzi kuhusu JK wakati ule. Hutakuwa wa kwanza kutoa siri kwa manufaa ya nchi, mwenyewe, familia yako na vizazi vijavyo hasa kwasababu siri hio ndio inataka kukuondoa mapema hapa duniani.
 
Ni bora kufa ukiwa mpiganaji katika kambi ya wapiganaji lakini ni hatari kuwa mpiganaji ndani ya kambi ya maadui

Karibu brother Mwakye!
 
Kama kweli mwanaume aseme alichoahidi kusema.Maana wabongo ni mabingwa kwa propaganda,ooh eti mafidi wamefanyia na hapo mlengwa ni El.Fanyeni kaza bana
Usilete upuuzi hapa,unasema FANYENI KAZI umewapa watu hiyo kazi wafanye?Kwendeni zenu wauaji wakubwa nyie na MUNGU atawalaani kwa UROHO wenu wa madaraka shenzitype nyie.
 
Karibu sana Tanzania, Karibu Mkuu, baada ya X-mas na mwaka mpya utueleze kulikoni
 
kama tunataka uhakika wa yeye kupewa sumu ama la ni vyema tukawasiliana na Dk waliokuwa wakimtibu india na hata hawa wa hapa Tz Waliotoa kibari cha kumruhusu apelekwe India,kumtaka yeye aseme ni kuzidi kumwongezea maadui

karibu jembe letu,pamoja tutafika

Wewe ni kati ya wale wanga waliokuwa wanasema dr.Mwakyembe hatorudi.....umekuwa ukisema atarudi kwenye jeneza....sasa nafsi yako inakusuta eh.....ebu rejea posts zako juu ya afya ya Mwakyembe uone. Mnafiki we...............
 
U mean amewekewa sumu huko serikalini?
Tunamkumbusha tu kwamba asidhani ndio amepona. Akumbuke tu 'Pollinium 310' inaua taratibu. Inaweza chukua hata miaka miwili. Sisi tulimshauri asiingize kwenye serikali ya Mk*we*re akaona tunamwonea wivu! Haya hayo ndio matokeo yake!
 
Mungu akulinde sana bro mwakye,2ko pamoja mkuu lakini kuwa makini bora uachane na siasa uchwara,angalia chama kingine mkuu au uwe lecturer.
 
Its too early to be thankful about Mwakyembe's health by deluding ourselves that he is already untangled from the Pollonium effects. As I know Pollonium kills so slowly and in some cases Russian government critics took almost 10 years to have their organs completely devastated by this lethal poison. At this juncture, it is the matter of time before we understand about the demise of Mwakyembe but hoping that he will at all survive from death is such a chimera.

You may be joking or serious about your words but judging from your comment here...to me you seem to be a really bad person (be it you are an opposition to Mwakyembe or ccm member or CDM member or anyone),but to me you seem to be naturally a very bad person.....you can pretend to hide it but its there in your words....you are hell bad.....people of your mentality (and they are many in tz)deserve nothing rather than total perish in hell............
 
Huyu amekwisha. Mbona amekimbilia Mbeya? Yeye, Sitta na Nape niliwadharau sana tangu walipomtosa Mpendazoe. Mwenzao anasota wao wamerudi kwenye magari na majumba ya viyoyozi na mishahara na posho nzitonzito.

utamwua mtu lakini siyo mawazo ya ukombozi, njoo ushuhudie hayo majambazi yanavyonyanganywa nchi na cdm na kufikishwa mahakamani
 
Kwanza, namshukuru Mungu kwa kumuwezesha kiongozi wetu kurejea salama..nadhani ni suala ya kumshukuru Mungu sana,kulingana na taarifa za tatizo lake zilivyokuwa zikitufikia ilikuwa inatisha....
Lakini pili, nina ushauri wa bure kwa Dr..nadhani ni muda muafaka wa yeye kuondoka CCM na kuachana na siasa za ghiliba,ufisadi,utesaji,uuaji,unyanyasaji,visasi,uzushi,ushetani,usengenyaji,ufirahuni,uhafidhina,uchawi,unafiki nk zinazoendeshwa na chama chake cha sasa yaani CCM...Hili ni fundisho kwake na kama asiposikiliza ushauri wa watu wanaomtakia mema,itafika kipindi anataka kutoka and it will be too late....
 
Karibu TZ, tunashukuru umerudi salama. Pumzika vya kutosha ila baada ya kupumzika uje umalizie kutueleza yale uloficha wakati uleeeeeeeeee, ulipohofia serikali yote kuporomoka. Usijali sasa hivi ukisema wala haitaporomoka maana EL alishaeleza kwa upande wake.
 
Back
Top Bottom