Unga up!?
Unga ule wa bungeni ndo unaanza kufanya kazi
Unga ule wa bungeni ndo unaanza kufanya kazi
kweli kabisa mkuu!!!!Kwanza, namshukuru Mungu kwa kumuwezesha kiongozi wetu kurejea salama..nadhani ni suala ya kumshukuru Mungu sana,kulingana na taarifa za tatizo lake zilivyokuwa zikitufikia ilikuwa inatisha....
Lakini pili, nina ushauri wa bure kwa Dr..nadhani ni muda muafaka wa yeye kuondoka CCM na kuachana na siasa za ghiliba,ufisadi,utesaji,uuaji,unyanyasaji,visasi,uzushi,ushetani,usengenyaji,ufirahuni,uhafidhina,uchawi,unafiki nk zinazoendeshwa na chama chake cha sasa yaani CCM...Hili ni fundisho kwake na kama asiposikiliza ushauri wa watu wanaomtakia mema,itafika kipindi anataka kutoka and it will be too late....
Tunamkumbusha tu kwamba asidhani ndio amepona. Akumbuke tu 'Pollinium 310' inaua taratibu. Inaweza chukua hata miaka miwili. Sisi tulimshauri asiingize kwenye serikali ya Mk*we*re akaona tunamwonea wivu! Haya hayo ndio matokeo yake!
Naamin Damage imeisha fanyika katika mwili wa mwakyembe hawezi akawa 100% fit.