Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
karibu nyumbani kamanda tunakutakia uendelee kupona haraka
Huyu amekwisha. Mbona amekimbilia Mbeya? Yeye, Sitta na Nape niliwadharau sana tangu walipomtosa Mpendazoe. Mwenzao anasota wao wamerudi kwenye magari na majumba ya viyoyozi na mishahara na posho nzitonzito.
Alisema Mpendazoe. Kati yao watatu hakuna aliyewahi kumjibu. Sitta, Mwakyembe na Nape ni wahuni. Mwalimu angekuwa hai angewaita hivo. Malipizi ni hapahapa duniani.una hakika gani? unajuaje pengine Mpendazoe ndiye aliwatosa wenzake kwa kutosikia ushauri wao kwamba muda wa kuondoka ccm haukuwa muafaka.
Kama Daniel alitoka salama kwenye tundu la simba nini kitashindikana kwa binadamu chini ya uwezo wa mungu?
Kitu bora na cha pekee nikuendelea kumwombea kwa mungu kama kila mmoja alivyo funga na kuomba tangu mwanzo!
Madhara ya sumu ile yanaweza kuchukua hata miezi sita hivyo tusishangilie mimba kabla ya mtoto.
Nani kati yenu aliyeiona kwa macho yake hali ya mwakyemba akirejea pale uwanja wa ndege?
mbona kakimbilia mbeya au madaktari wa India wamemwambia hatapona ni kama anakwenda kuaga na kuwaeleza kuwa maisha yake bado yako shakani