Dk. Hamis Kigwangalla aikana kampuni ya Qnet

Ha ha ha eti "Good morning " Saa saba mchana [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mange Kimbambi anamadhara zaidi ya jamii forum, Mange anavistor wengi zaidi ya jamii forum, Mange anaeffect kwenye jamii ya mtanzani zaidi ya anywebsite

Na hii ni kwasababu ya Mamoderator wa jamii forum...............................Najua hii itafutwa lakini jamii forum lazimu mujitathimi, Otherwise in two year inaenda kufa
 
Good morning ndio uchawi wao labda[emoji1]
 
Hahaha kuna mchizi ananiambia yeye ni injinia wa bandari ameamua kuacha kaz maana qnet inalipa balaa alaf nikimchek mchizi amechoka kidizain kuliko mimi mwingine alikua muhandis barric ameacha mwingine tbl yaan utapeli flan ivi wakitoto

Mimi nilichoka maana nilikuwa nafanyiwa presentation na mrembo fulani hivi ,ananitajia mambo kibao ila sasa aliniboa maana puani kulikuwa na ukoko wa makamasi unachungulia basi nikamdharau sana. Yaani kidogo nimwambie atoe ule ukoko ila nikaona nitampotezea network nikamuacha.
 
Hahahahhh....kawaza ndani ya box sasa
 
Hii Serikali kanyaboya imeshindwa kutekeleza ahadi walizowaadi watz ktk campaign zao kujenga viwanda ikiwemo, sasa wameamua kutuletea matapeli.
 
We GENTA mtani umeanza eeh...by the way vipi matokeo ya jana kule Shy? (off the book).
teh teh umeniwahi! hapa katolea hasira zake kidogo kwa kweli jana simba walifanya vizuri walipata matokeo yaliyopunguza makunyazi yetu! ikitokea wakapoteza mechi mbili mfululizo itakuwa poa sana!
 
Nyingine ipo mikocheni, kuna siku rafiki yangu aliniita kuna ishu ya biashara tukaongee, duuh nimefika ilikuwa mida ya saa 9 mchana, nasalimiwa good morning, nikiwa bado kwenye mshangao maana nnawajua hao wadada kiingereza hakiwapigi chenga, anaingia mama mmoja mweupe mtu mzima nae kashusha good morning duuh nikajisemea hii ishakua balaa ngoja nisikilize nisepe nilijilaumu sana kupoteza mda wangu na sikuelewa yule demu aliniona mimi mpori pori ama nini
 
Ni hatari kufanya jambo ambalo haulijui.
Kwa kweli hapa nimemuona NUNDA mmoja matata sana.
Na usomi wake hakufanya hata research na kufanya reference na kina DECI na forever living na kuwa ma doubts??
 

Qnet Qgwangala!
 
we waache kuna siku watamuelewa. na kama sio Mange kumlipua wale asingeongea kabisa. afu mleta mada ungeandika kabisa nini kimetokea had ikabidi ajieleze.
 
Matapeli wakiwatumia na baadhi ya viongozi wa serikali kuwa hadaa Watz ili wawapige hela zao....
Baadhi ya mitz imezidi umbwege kukubali kuingizwa kingi lkn yote ni kutaka usrahisi,hakuna hela za ubweteubwete

Ova
 
InashangazA waziri mzima kufanya jambo bila background check , how is this possible ? It’s amazing
 
Kuna jamaa wanafanya ishu za Rifaro eti unanunua vocha baadae unalipwa kwa idadi ya vocha unazouza na kununua sijui!..Nikashangaa nawekwa hadi group lao whatsapp nikajitoa nikamtumia naemjua sms akinirudisha namblock na asinijue tena!..
 
WaTz wengi wanapenda udaku ndio maana mange ana visitors wengi. Huku JF kuna mada fikirishi wapenda udaku huku hapawafai ndio maana watumiaji wa JF unaweza kujikuta mko watatu tu mtaa mzima
 
hahahah..hhahaha..haaaaaaaaaaa...walah! dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…