Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,535
Ujinga ni mzigo sana, basi tu kwamba wamepata madaraka!!!!!!!Pale unapokata utepe wakati si mgeni rasmi.....🙁🙁
Ujinga ni mzigo sana, basi tu kwamba wamepata madaraka!!!!!!!Pale unapokata utepe wakati si mgeni rasmi.....🙁🙁
Hapo penye bahasha nene pamenifuraisha sana.Mara nyingi kiongozi akienda kwny mambo kama haya huwa mwishoni anapewa bahasha nene ya shukrani
Tangu wamekatwa mikia na stend utd, hawaungi tena! Ubingwa utaendelea kuwa story za bulicheka" bado kuwakata kichwa tukikutananao!"Shinyanga Simba SC tumetoka sare ya magoli mawili kwa mawili na Mwadui FC na bado tunaongoza Ligi kwa tofauti ya alama tano na wale ' Wendawazimu ' wanaotufuatia ambao Kwao matokeo ya jana yalikuwa ni ' Sherehe ' Kwao kana kwamba vile wameshakuwa na alama sawa na Mnyama Mnyamani ( Simba SC ) wakati ukweli ni kwamba watajitahidi kuifukuzia Simba SC ila kuipita Simba SC wasahau.
True 100%Mara nyingi kiongozi akienda kwny mambo kama haya huwa mwishoni anapewa bahasha nene ya shukrani
Sahv ungekuaa unaliaaaaa!yalaaaaAlmanusura nitumbukize eleri humu aisee
Hayo maneno yako bado unayo kichwani mwako?Tangu wamekatwa mikia na stend utd, hawaungi tena! Ubingwa utaendelea kuwa story za bulicheka" bado kuwakata kichwa tukikutananao!"
Ndio ma think tank wa jiweKigwangala anasema "alishundwa kukataa kushiriki kukata utepe" ..inamana alijua janja ya hawa Qnet ila alishindwa kukataa tu sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla kupitia ukurasa wake wa Instagram amekana kuwafahamu wamiliki waendeshaji wa biashara ya QNET
Soma nukuu niliyoiweka hapa chini!
Nimeona nitoe ufafanuzi kwenye hili jambo. Maana kila mjadala juu ya hii kampuni ya QNet unapoibuka, jina langu linakuja, na mara nyingine picha yangu inawekwa.
Ukweli ni kwamba, nilialikwa kwenye shughuli ya uzinduzi wake kama mgeni wa heshima; mgeni rasmi alikuwa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji wa wakati huo, Dr. Adelhelm Meru.
Niliamini kwa heshima ya kuzinduliwa rasmi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, ambao ndiyo wenye dhamana ya usajili wa biashara zote nchini, ni lazima ni watu halali na bado ninaamini kama kuna shida mamlaka husika zitachunguza na kuchukua hatua stahiki na kama hakuna shida basi ni vema mamlaka husika zikatoa mwongozo utakaowaondoa hofu wananchi wenzetu wenye ‘interest’ ya kushiriki kwenye biashara hii.
Baada ya kufika eneo la tukio, kiitifaki ikaonekana nami lazima nishiriki zoezi, nikashindwa kukataa.
Nadhani inafahamika kwamba nimekuwa mstari wa mbele kuunga mkono kwa vitendo jitihada nyingi mbalimbali za wajasiriamali vijana ambao wameamua kutoka [HASHTAG]#NjeYaBox[/HASHTAG]. Hata hawa nilishindwa kuwakatalia.
Ukweli ni kuwa, siwajui wao binafsi ‘at personal’ level na wala biashara yao, umiliki wake na muundo wake siujui zaidi ya kuelewa kwa juu juu kuwa ni ‘network marketing’.
Ifahamike hapa kuwa sina maslahi yoyote yale kwenye biashara hii na wala sikushiriki uzinduzi wake kwa malengo ya kutoa ushawishi ili watu wajiunge, na natoa rai kwamba wanaotaka kujiunga ama kuacha kujiunga wasitumie picha za ushiriki wangu siku ya uzinduzi, kwa namna yoyote ile, kujenga uhalali wa aina yoyote ile, bali watumie vipimo vyao vingine kufanya uamuzi na siyo picha zangu.
Sintohusika na matokeo yoyote yale, chanya ama hasi, ya ushiriki wa mtu yeyote yule ama taasisi yoyote ile, kwenye shughuli za kampuni hii.
Naomba pia izingatiwe kwamba, jina langu ama picha yangu haijaruhusiwa kutumika kama bango la matangazo ya biashara ya mtu au taasisi yoyote ile, na hivyo kufanya hivyo ni kosa kisheria na ikibainika nitachukua hatua kali za kisheria.
H.K
![]()
View attachment 696346
Hapa ni Waziri wa Utalii Kigwangalla wakati akiwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo, Jinsia, Wazee na Watoto, (wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la Qnet uliofanyika Dar es Salaam, wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Bodi ya Qnet, David Sharma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dk. Adelhelm Meru na Wakala wa Qnet Tanzania, Benjamini Mariki.
JamiiForums kuliletwa thread ya Malalamiko
Qnet Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?
QNET acheni utapeli, rudisheni pesa ya mke wangu na shemeji shilingi milioni 8
Qnet naomba pesa yangu milioni 5, nimenunua saa mpaka sasa najuta kuwafahamu..
Huyo waziri na katibu mkuu wa wizara waliokata utepe kufungua ofisi za matapeli Hawa wawekwe kundi gani ??Kila kitu serikali serikali..pumbaf
Tumezidi kuwa wajinga..na dunia ya leo ukiwa mjinga wewe ni mtaji kwa watu.
Mtu ni mwalimu mwenye degree,lakini bado anadandia project fake za kitapeli bila hata kushtuka..hapo na serikali ni ya kuiita jameni?
Na mahakamani hapo kesi kimsingi hamna kwa uelewa wangu mdogo wa sheria..labda mambo yafanyike kibabe maana hawa watu wanachukua hela za watu kirahisi sana
Ila jamaa anapenda picha.Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla kupitia ukurasa wake wa Instagram amekana kuwafahamu wamiliki waendeshaji wa biashara ya QNET
Soma nukuu niliyoiweka hapa chini!
Nimeona nitoe ufafanuzi kwenye hili jambo. Maana kila mjadala juu ya hii kampuni ya QNet unapoibuka, jina langu linakuja, na mara nyingine picha yangu inawekwa.
Ukweli ni kwamba, nilialikwa kwenye shughuli ya uzinduzi wake kama mgeni wa heshima; mgeni rasmi alikuwa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji wa wakati huo, Dr. Adelhelm Meru.
Niliamini kwa heshima ya kuzinduliwa rasmi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, ambao ndiyo wenye dhamana ya usajili wa biashara zote nchini, ni lazima ni watu halali na bado ninaamini kama kuna shida mamlaka husika zitachunguza na kuchukua hatua stahiki na kama hakuna shida basi ni vema mamlaka husika zikatoa mwongozo utakaowaondoa hofu wananchi wenzetu wenye ‘interest’ ya kushiriki kwenye biashara hii.
Baada ya kufika eneo la tukio, kiitifaki ikaonekana nami lazima nishiriki zoezi, nikashindwa kukataa.
Nadhani inafahamika kwamba nimekuwa mstari wa mbele kuunga mkono kwa vitendo jitihada nyingi mbalimbali za wajasiriamali vijana ambao wameamua kutoka [HASHTAG]#NjeYaBox[/HASHTAG]. Hata hawa nilishindwa kuwakatalia.
Ukweli ni kuwa, siwajui wao binafsi ‘at personal’ level na wala biashara yao, umiliki wake na muundo wake siujui zaidi ya kuelewa kwa juu juu kuwa ni ‘network marketing’.
Ifahamike hapa kuwa sina maslahi yoyote yale kwenye biashara hii na wala sikushiriki uzinduzi wake kwa malengo ya kutoa ushawishi ili watu wajiunge, na natoa rai kwamba wanaotaka kujiunga ama kuacha kujiunga wasitumie picha za ushiriki wangu siku ya uzinduzi, kwa namna yoyote ile, kujenga uhalali wa aina yoyote ile, bali watumie vipimo vyao vingine kufanya uamuzi na siyo picha zangu.
Sintohusika na matokeo yoyote yale, chanya ama hasi, ya ushiriki wa mtu yeyote yule ama taasisi yoyote ile, kwenye shughuli za kampuni hii.
Naomba pia izingatiwe kwamba, jina langu ama picha yangu haijaruhusiwa kutumika kama bango la matangazo ya biashara ya mtu au taasisi yoyote ile, na hivyo kufanya hivyo ni kosa kisheria na ikibainika nitachukua hatua kali za kisheria.
H.K
![]()
View attachment 696346
Hapa ni Waziri wa Utalii Kigwangalla wakati akiwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo, Jinsia, Wazee na Watoto, (wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la Qnet uliofanyika Dar es Salaam, wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Bodi ya Qnet, David Sharma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dk. Adelhelm Meru na Wakala wa Qnet Tanzania, Benjamini Mariki.
JamiiForums kuliletwa thread ya Malalamiko
Qnet Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?
QNET acheni utapeli, rudisheni pesa ya mke wangu na shemeji shilingi milioni 8
Qnet naomba pesa yangu milioni 5, nimenunua saa mpaka sasa najuta kuwafahamu..
Nadhani ni kampuni inayojishughulisha na biashara mtandao. Wewe ukitaka kujiunga unanunua bidhaa kwao - yule aliyekuunganisha analipwa commission - nawe ukiunganisha mwingine akinunua bidhaa unalipwa commissionHiyo Qnet ni Kampuni gani? Nayo inahusika na mambo ya betting? Maana Nafikiri betting Ndio 'viwanda' vinavyoanzishwa kwa wingi sana hapa nchini kwa Sasa, hata vijijini watu wana bett!
baada ya hapo 🤔Nili sign mkataba bila kusoma