Haha ao wakikenya sio waambie watafute zakibongo ayo mambo hayapo.Hizi movie zilizo editiwa sauti(tafsiriwa??) huwa sizipendi sana! Kuna siku nimeenda kumsalimu mama mzazi,sasa nikakuta yupo na wajukuu zake wanaangalia Escape from sobibor iliyotafsiriwa na mhuni mmoja wa kenya! Yaani nilichoka! Maana hizo "gumaanyoko gumanina" na "weka Mugundu yako hapa"zilitufanya tukose amani kabisa.
Hizi movie zilizo editiwa sauti(tafsiriwa??) huwa sizipendi sana! Kuna siku nimeenda kumsalimu mama mzazi,sasa nikakuta yupo na wajukuu zake wanaangalia Escape from sobibor iliyotafsiriwa na mhuni mmoja wa kenya! Yaani nilichoka! Maana hizo "gumaanyoko gumanina" na "weka Mugundu yako hapa"zilitufanya tukose amani kabisa.

Kweli umenena mkuu mimi nampendea pale muvi inaponoga dj mack na ile miluzi yake.pongezi kwake dj mu , lakini binafsi dj mack ni mzuri mno.
hivi wadau ni kweli lufufu aifariki au ni uzushi tuu. murphi
Hivi huyu dj mack unaweza kumpata youtube? Maana hakuna dj ninaemuelewa kama huyu angalia movie ya BKO.Murphy ni mzuri kwa kuchangamsha Series ila bado hana uzoefu mzuri na lugha ya wanafiki mashosti kina Cameron.., Kwenye idara hii namuelewa sana Dj Marc Kuku-Ngwendo Wa Zabanda A.k.a Jogoo Huyu Namuelewa Hadi Basi... Wanakujaaaaaa. Atcheche Atcheche
sijui kama anaweza kufanya hivyo... na pia marc katafsiri movie nyingi sana nimeanza kumjua tangu 2007Hivi huyu dj mack unaweza kumpata youtube? Maana hakuna dj ninaemuelewa kama huyu angalia movie ya BKO.
HahahaaaaaHizi movie zilizo editiwa sauti(tafsiriwa??) huwa sizipendi sana! Kuna siku nimeenda kumsalimu mama mzazi,sasa nikakuta yupo na wajukuu zake wanaangalia Escape from sobibor iliyotafsiriwa na mhuni mmoja wa kenya! Yaani nilichoka! Maana hizo "gumaanyoko gumanina" na "weka Mugundu yako hapa"zilitufanya tukose amani kabisa.