DJ Mark namba moja

Mi ni msela ndo maana sina makuzi ya kichoko, nakupa somo bila hela kwasababu we ni mtoto mnoko.../

We ni dj unaye play ngoma za taarabu, na ndo maana hazisikiki kwenye hivi vilabu.../
msela gani wewe upo kigoigoi,huna future huna taste kama kiepe kilichokosa yai,ila unajitahid kukesha kama mimi,saa tisa hii au upo karantini?
 
ila siskii muvi zake saiv,mm naona kwa bongo Anayejua english vzur ni Ommy dj yan movie zake ni kali utamsikia"piga bao sasa weweeee"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
tuwekeee picha mkuu ya ommy dj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je analipa kodi? na anafwata masharti ya hati miliki?
 
Naiangalia movie yake moja hapa ya "The Game Of Thrones" Ommy D yupo vyema sana sauti ya simba jamaa anaunguruma kweli kweli lugha nayo《English》 kaisimamia vilivyo.
 
Kuna dj mmoja huwa ananifurahisha anavyotamka Kung Fu hustle,utasikia"muvi hii ya kong fu hustule"yaan ni shida anatamka kama ilivyoandikwa.english bado ni tatizo kwa wengi
 
ila siskii muvi zake saiv,mm naona kwa bongo Anayejua english vzur ni Ommy dj yan movie zake ni kali utamsikia"piga bao sasa weweeee"

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!! vigwagizo vingine ni kama "ndani ya nyumba huyu ni Ommy D hapana shaka tunapiga bao, Waooooh, dooh, hutaki au, Wewe tu, Twende sawa, hakika ni kizaazaa, we cheki mambo hayo, mimi sina msaada nae/nao hakika nakwambia. Jamaa haboi namkubali sana hasa kwenye... The Knight Rider, Game Of Thrones, Lord Of The Rings, The Outpost n.k
 
Naiangalia movie yake moja hapa ya "The Game Of Thrones" Ommy D yupo vyema sana sauti ya simba jamaa anaunguruma kweli kweli lugha nayo《English》 kaisimamia vilivyo.
Kiufupi jamaa anajua sana .. yaani anakwambiq Marekani anaijua kuliko hata mama yake.....
Ukute labda anatafsiri filamu ya kimarekani akianza kutaja mitaa na maeneo..na ukifuatilia kwa ku Google unakuta ni kweli .jamaa yupo vyema sana


MÊmENtO HoMO
 
Kuna mmoja anaitwa BABUU huyo wanamjua wengi wa Arusha. Nakuhakikishia ukibahatika kupata kazi zake hata moja hutajuta. Kuna movie moja iko youtube inaitwa CKANK 1. Ukibahatika kuangalia hata nusu saa,utatoa majibu kwa uwezo wa jamaa kutafsiri vema.. Muvi anaso deal nazo nyingi niza Action(kizungu) alafu Ommy yeye za kivita sana sana
 
zombies wanakuuuuuuujaaaa woouhuuu wakuchechemea hatarii ukipigwa na mruzziii wote mnarudi ndani.
afro majina wa watu tu nichekesho😅😅.
wakina kabdaa.odhobee.wololooo bila kusaaau wapishi wakuuu wakina maaenjaaaa
 
hapana shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…