Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,373
- 2,267
Angalieni hii video.
Khaled anaweza hizo gharama za utunzaji, gharama za kupaki? Aah kwanza huko mbali, bei ya hizo ndege ni $100M-200M, eti anataka awe kama Drake!
Drake mwenyewe siamini kama lile dude ni lake, hawa wasanii wana smoking mirrors sana. Unakuta wanaingia mkataba na kampuni yenye ndege ya mizigo halafu inakuwa inapiga mishe zake wao wanaichora tu kwa nje, halafu wananunua masaa ya safari za kujionesha tu.
Hii ndege hata $mabillionea inawasumbua.
Khaled anaweza hizo gharama za utunzaji, gharama za kupaki? Aah kwanza huko mbali, bei ya hizo ndege ni $100M-200M, eti anataka awe kama Drake!
Drake mwenyewe siamini kama lile dude ni lake, hawa wasanii wana smoking mirrors sana. Unakuta wanaingia mkataba na kampuni yenye ndege ya mizigo halafu inakuwa inapiga mishe zake wao wanaichora tu kwa nje, halafu wananunua masaa ya safari za kujionesha tu.
Hii ndege hata $mabillionea inawasumbua.