Dizasta Vina a.k.a Maradona

Dizasta Vina a.k.a Maradona

"Leo wananiita bar builder
Level 5 sorcerer kutoka far future
Mara alien illuminati nakaa nyumba Area 51 666 au bermuda"
 
Ila hili dongo la kusema ngoma wanaasaidiana kuandika siyo poa..yaani kaushusha uwezo wa Cosmas,acha tuone anavyorudi
 
Mnaomshauri Kosi mtampoteza, atupe tu taulo akubali yaishe. Inamhitaji miaka mitano ya kusoma vitabu vya falsafa ili ajibu hata nusu ya content iliyopo kwenye hiyo ngoma.

Sio kawaida diss track kuwa na dakika 11 halafu kila baada ya line moja unapata punchline.

Mpaka sasa kwa hapa bongo list iko hivi;
1. Tribulation - Dizasta Vina
2. Futi 6 - P Mawenge
3. Neema wa mitego - Nikki Mbishi
 
Kuna mstari mwembamba unaotenganisha "kuwa na swagg" na kuwa mchanaji mbovu (Whack)... So Kosi anaweza kufikiri kuwa ana Swagg/style kali ya uchanaji lakini kumbe ametoka kidogo hapo yupo kwenye kuwa 'whack'
kwahyo rapcha ni whack man?
 
"SPECIES zenu haziwezi order CLASS kwenye hii KINGDOM"

Basi kumbe tupo wengi tuliosikiliza btn the line

Dizasta ni mwandishi anatumia akili nyingi sana hata kueleweka kwake unahitaji utulize mdonga


Hivi nani anajua concept behind wimbo wa SHAHIDI??

Ukisikiza intro ya ile ngoma…ukaelewa basi we genius
 
Jamaa nimemuelewa kwa maoni yake
Screenshot_20230117-210015_1.jpg
 
Mnaomshauri Kosi mtampoteza, atupe tu taulo akubali yaishe. Inamhitaji miaka mitano ya kusoma vitabu vya falsafa ili ajibu hata nusu ya content iliyopo kwenye hiyo ngoma.

Sio kawaida diss track kuwa na dakika 11 halafu kila baada ya line moja unapata punchline.

Mpaka sasa kwa hapa bongo list iko hivi;
1. Tribulation - Dizasta Vina
2. Futi 6 - P Mawenge
3. Neema wa mitego - Nikki Mbishi

Toa neema wa mitego weka best friend japo haikuwa diss ni clarifications lakn imeipita mbaali sana ney wa mitego hakuna kitu mule sema tu iliimbwa na msanii mkubwa…tulimpa heshima tu nikki


Futi6 yes nakubaliana na wew..100%

Nawaza hii beef ingekuwa mawenge vs dizasta

Sijui angepona nani..

Dizasta mwandishi mzuri lkn P anaflow kinoma

All in all tungenjoy sana..achana na huyu kakake paula
 
Basi kumbe tupo wengi tuliosikiliza btn the line

Dizasta ni mwandishi anatumia akili nyingi sana hata kueleweka kwake unahitaji utulize mdonga


Hivi nani anajua concept behind wimbo wa SHAHIDI??

Ukisikiza intro ya ile ngoma…ukaelewa basi we genius
Niliielewa ile. Itoshe kusema Dizasta ni genius, na kinachonishangaza ni kwamba ukimsikiliza jamaa utagundua kuwa ame master kila angle kuanzia Literature, biology, maths, geography, siasa, imani n.k
 
'Habembelezi warembo kama Mario' anamaanisha Marioo huyu msanii kwa zile ngoma zake za kubembeleza au Marioo yenye maana ya mwanaume kuwa kulelewa au kuwa king'asti kwa wanawake wenye uwezo kipesa?..Maana anaweza kuibuka Marioo msanii na Dis track take hapa
 
Niliielewa ile. Itoshe kusema Dizasta ni genius, na kinachonishangaza ni kwamba ukimsikiliza jamaa utagundua kuwa ame master kila angle kuanzia Literature, biology, maths, geography, siasa, imani n.k

Ngonja nikumegee maarifa kidogo

Ile ngoma ya “SHAHID” inaanza kuna reporter anasema

“…..Tahararuki imeikumba jamii kuhusu chanzo cha ajali ya T9-12….”

….”Reporter anajitambulisha kama Maria S. na Martin M.

….wanareport kutoka online SPACE TV…”


….Meli inatajwa kuzama Alhamis sept 7….”

..shahidi anaendelea kusimulia alikamatwa na kuchapwa mijeredi 38…”



CRACK CODE


-Tanzania ilipata uhuru 9-12 (meli ya T9-12)
-Maria S (Maria Sar*n*gi)-mwanaharakati
-Martin M(Martin Ma*ranj*)-mwanaharakati
-SPACE TV (space-twitter)

-sept 7 (tukio la mwanasias L*s* kupigwa risasi)

-mijeredi 38(risasi 38 zilizopogwa)


Ngoja nisiendelee but know this man is pure genius


IMG_0418.jpg
 
Back
Top Bottom