Dizasta Vina a.k.a Maradona

Dizasta Vina a.k.a Maradona

Mwanajua imetoka 27 Dec 2020 na JPM kafariki 2021

Kwani alivoimba almasi umeelewa ?

Kamzungumzia Diamond Platnumz miaka mingi mbeleni!

Navoamini mimi Dizasta ni kama time traveller anaandika vitu vya kufikirika sana ni kama utabiri..sometimes concept zake ni kama nabii tunasubiri zitimie

Huu ni mtazamo wangu!

Naheshimu mtazamo wako pia

Ila mwanajua bado inanisumbua natamani nikutane na dizasta nimuulize,alikuwa anamaanisha nini?

Nmepitia comments nyingi YouTube wengi pia wanafikiria “clouds fm” or “JPM

So nawew unaeza share code zako

Ni maoni sio sheria,so be free
 
Kwani alivoimba almasi umeelewa ?

Kamzungumzia Diamond Platnumz miaka mingi mbeleni!

Navoamini mimi Dizasta ni kama time traveller anaandika vitu vya kufikirika sana ni kama utabiri..sometimes concept zake ni kama nabii tunasubiri zitimie

Huu ni mtazamo wangu!

Naheshimu mtazamo wako pia

Ila mwanajua bado inanisumbua natamani nikutane na dizasta nimuulize,alikuwa anamaanisha nini?

Nmepitia comments nyingi YouTube wengi pia wanafikiria “clouds fm” or “JPM

So nawew unaeza share code zako

Ni maoni sio sheria,so be free
Ndio maana nikakwambia weka mstari ambao huuelewi nikujuze.
 
Ni kweli Jamii imejaa sana ujinga that’s the reason why he’s not famous.

View attachment 2474009

Edger Vicent Mwaipeta (born February 17, 1993), known to one and all as Dizasta Vina, is a hip-hop musician from Mbeya, Tanzania.

He is known for his unique rhyme schemes and unparalleled storytelling.

His style transforms rap into philosophically viable poetry, delivering thought-provoking verses.

Dizasta Vina has managed to continuously issue hit after hit while maintaining a cult-like fan following that has fuelled the rapid rise of both his music and his reputation.

Kwa muda mrefu sana nmekuwa namfuatilia Dizasta toka enzi za Tamaduni,ni mmoja ya ma rapper bora zaidi kuwahi kutokea hapa bongo,uandishi wake na uwezo wa kufikiri umenifanya isipite siku bila kumsikiliza

Tayari anazo album/mixtape kadhaa sokoni
1. The wonder kid
2. The Verteller

Moja yaa ubunifu wake ni kutoa nyimbo zenye mwendelezo yaani kama movie series

-HATIA (1-5)
-No body is safe (1-4)
-Confession (mad son,mad teacher,mad philosopher)

Kama hujapata muda wa kumsikiliza huyu jamaa ebu pita YouTube sikiliza hizo ngoma kuna kitu utapata!

The verteller ni moja ya album bora kwangu 2020

Kama unamkubali dizasta Vina dodosha punchlines
Ambayo unaikubali kutoka kene ngoma zake.
Jamaa namkubali sana
 
Jamaa kagoma kutuletea tafsiri

Kapotea tena..
Wakati aliomba line atafsiri

Ngoja nimpe code

Hapo imezungumzwa bongo fleva ya akina janjaro

Amezungumzwa jasiri mwongoza njia

So..ukifatilia vizuri utaona hii ilikuwa “clouds fm” against “music industry”

Dizasta is the master of big words
 
Na ukitaka kuielewa “THE VERTELLER “sikiza kwa mpangilio kuanzia track 1-20 bila kuruka

Mpangilio wa jumla wa albamu ni kwamba
msimuliaji anazaliwa,
msimuliaji anajifunza na
kisha anafanya makosa,
anaingia kwenye mapenzi,
anajuta,
msimuliaji anapata faraja na
mwisho wa siku msimuliaji anakufa.!

IMG_0457.jpg
 
Kapotea tena..
Wakati aliomba line atafsiri

Ngoja nimpe code

Hapo imezungumzwa bongo fleva ya akina janjaro

Amezungumzwa jasiri mwongoza njia

So..ukifatilia vizuri utaona hii ilikuwa “clouds fm” against “music industry”

Dizasta is the master of big words
Sasa mkuu mbona nawewe unachanganya tena madesa, mwanzo unasema ulihisi inaongelewa clouds, badae ukajiridhisha kuwa anaongelewa JPM...!

Hence umerudi tena kwa clouds, itoshe kusema kuwa jamaa katuumiva vichwa na ataendelea kutuumiza vichwa hadi pale atakapoamua mwenyewe kutoa tafsiri rasmi
 
Sasa mkuu mbona nawewe unachanganya tena madesa, mwanzo unasema ulihisi inaongelewa clouds, badae ukajiridhisha kuwa anaongelewa JPM...!

Hence umerudi tena kwa clouds, itoshe kusema kuwa jamaa katuumiva vichwa na ataendelea kutuumiza vichwa hadi pale atakapoamua mwenyewe kutoa tafsiri rasmi

Ofcoz bado naumiza kichwa kipi hasa kati ya hivo
Maana kwangu vyote vina “click” hizo concept 2

Ndo maana nakaribisha mawazo mbadala na hoja

Ili tupate tafsiri kamili..I’m very flexible

Ili mradi tu mtu aje na hoja! Ili tufungue code
Kama ilivofanyika kene shahidi

Ni mtazamo binafsi na Niko tayari kurekebishwa.

that’s all
 
Ofcoz bado naumiza kichwa kipi hasa kati ya hivo
Maana kwangu vyote vina “click” hizo concept 2

Ndo maana nakaribisha mawazo mbadala na hoja

Ili tupate tafsiri kamili..I’m very flexible

Ili mradi tu mtu aje na hoja! Ili tufungue code
Kama ilivofanyika kene shahidi

Ni mtazamo binafsi na Niko tayari kurekebishwa.

that’s all
Naheshimu mawazo yako mkuu
 
Concept behind?
"Alizaliwa mashariki alifahamika mahali pote"
Hapo zingatia upande ambao jua hutokea alfajiri.

"Alitamalaki nuru ilitua mahali kote"
Hii inajieleza yenyewe.

"Hakuna aliyemgusa kwani alikuwa wa moto sana"

Hii line inaelezea character ya jua.

"Tuliwaonea wivu rafiki zake Mekuli na Veneranda"

Mekuli ni mercury, veneranda ni vernus. Hizi ni sayari zilizo karibu na jua, hivyo kwenye kazi yake ya uandishi kaziweka ni marafiki zake.

"Wazungu walikuja na pozi kibao
Walimkaribia mwisho walibabuka Ngozi zao"

Hii line inaonyesha wana anga wanashindwa kumsogelea kwa sababu ya joto.

"kuna walo'diri kumwita Mungu
Walitukuza walisadiki na kuabudu"

Hii ni kwa wanaoabudu jua.

"Tuliishia kumwona mbali na mwisho kuumia macho"

"Maana alingáa sana kiasi alizificha nyota kama wingu"


"Tulikosea kwani... zile sifa hazivai tena
Imefika jioni na yeye hang'ai tena"

Hapa anaonyesha ilivyofika jioni zile sifa zote za jua zikapotea.

"Najiuliza, alifichwa na ndugu kwenye kaya? Au alinenepa kutoka aliona haya"

Hii ni jioni wanamtafuta jua haonekani tena.

"Nuru yake pahala pote ilitawanyika
Toka mzizima pwani kote alipagawisha
Aliondoka na mwisho alionekana ziwa Tanganyika"

Kigoma kule ndio jua linapozamia "joke" ila utakuwa unajua jua huwa linaishia ziwa tanganyika kigoma huko kwa ukanda wetu.

"Dhahania zimeandikwa alichoka pengine
Aliondoka ili wang'ae nyota wengine"

Hapa ameonyesha kuwa jua ni nyota na anajiuliza usiku ulipofika aliondoka ila wang'ae nyota wengine? Akimaanisha hizi nyota za usiku.


Kwa hizo lines toka nilivyosikia siku ya kwanza niling'amua kuwa muhusika ni jua kama tafsida ambayo unaweza kuiweka kwenye jambo lolote linaloendana na mada.
 
Alizaliwa mashariki...... na mwisho alionekana ziwa Tanganyika (magharibi)
.
.
.
Tuliwaonea wivu rafiki zake mekuri na veneranda ( Mercury na Venus )

Haya Tafakari tena.

Halafu nitakwambia HATIA V kagusa nini
Hatia V mkuu, lete madini
 
"Alizaliwa mashariki alifahamika mahali pote"
Hapo zingatia upande ambao jua hutokea alfajiri.

"Alitamalaki nuru ilitua mahali kote"
Hii inajieleza yenyewe.

"Hakuna aliyemgusa kwani alikuwa wa moto sana"

Hii line inaelezea character ya jua.

"Tuliwaonea wivu rafiki zake Mekuli na Veneranda"

Mekuli ni mercury, veneranda ni vernus. Hizi ni sayari zilizo karibu na jua, hivyo kwenye kazi yake ya uandishi kaziweka ni marafiki zake.

"Wazungu walikuja na pozi kibao
Walimkaribia mwisho walibabuka Ngozi zao"

Hii line inaonyesha wana anga wanashindwa kumsogelea kwa sababu ya joto.

"kuna walo'diri kumwita Mungu
Walitukuza walisadiki na kuabudu"

Hii ni kwa wanaoabudu jua.

"Tuliishia kumwona mbali na mwisho kuumia macho"

"Maana alingáa sana kiasi alizificha nyota kama wingu"


"Tulikosea kwani... zile sifa hazivai tena
Imefika jioni na yeye hang'ai tena"

Hapa anaonyesha ilivyofika jioni zile sifa zote za jua zikapotea.

"Najiuliza, alifichwa na ndugu kwenye kaya? Au alinenepa kutoka aliona haya"

Hii ni jioni wanamtafuta jua haonekani tena.

"Nuru yake pahala pote ilitawanyika
Toka mzizima pwani kote alipagawisha
Aliondoka na mwisho alionekana ziwa Tanganyika"

Kigoma kule ndio jua linapozamia "joke" ila utakuwa unajua jua huwa linaishia ziwa tanganyika kigoma huko kwa ukanda wetu.

"Dhahania zimeandikwa alichoka pengine
Aliondoka ili wang'ae nyota wengine"

Hapa ameonyesha kuwa jua ni nyota na anajiuliza usiku ulipofika aliondoka ila wang'ae nyota wengine? Akimaanisha hizi nyota za usiku.


Kwa hizo lines toka nilivyosikia siku ya kwanza niling'amua kuwa muhusika ni jua kama tafsida ambayo unaweza kuiweka kwenye jambo lolote linaloendana na mada.
Safi mkuu hadi hapo tuko pamoja na uko Sawa na tafsiri ya walio wengi ila kuna sehemu bado panahitaji msaada

Walikuja madogo wajanja na mapesa/

Wakauliza mama ukivaaje unapenda?/

Wakamuahidi ndizi,mawaridi na hariri/

Lakini jasiri rangi yake ya asili ilitesa/

Warembo wa dunia na vivazi vyao/

Walipanga kumfikia na ilibaki njozi kwao/
 
Back
Top Bottom