Jemedaree
JF-Expert Member
- Nov 22, 2021
- 677
- 2,072
- Thread starter
- #181
Mbishi waga ana shida zake tu binafsi mkuu, pride huwa inamzidi, Mbishi ndie naweza kusema msanii ambae yupo obsessed na kwenda mainstream kuliko msanii yoyote yule tangu yupo Tamaduni hadi kikosi kazi
Kuna wasanii wengine wao wameridhika na sehemu walipo na huwezi kuskia wanapiga kelele kama za Mbishi, mwangalie One,Songa
Alafu kuna hawa P mawenge,Sterio hawa wapo kote kote, wanafight kuingia mainstream at the same hawaichukii underground stream kwahiyo wao hawana stress ambazo anazo nick
Kinachomponza nick ni "kujijua kama anajua" hii kitu inataka kumfanya aamini kuna baadhi ya wasanii wanapata ambacho hawastahili kukipata kwa sababu tu amewazidi uwezo kwenye vitu vingi
Sasa tukija kwenye issue ya Dizasta vina, yeye kwake ni tofauti sana, HATAKI kwenda mainstream either iwe kwa bahati mbaya au makusudi ndomana huwezi kuskia anakuwa na bifu na wasanii waliopo mainstream, hatqki kwa sababu itamnyima Uhuru alionao katika kuandika
Huwezi ukawa Mainstream alafu ukaimba wimbo kama KANISA itakuwa ni suicide katika career yako huwezi ukawa Mainstream ukaandika wimbo kama "A CONFESSION OF MAD PHILOSOPHER" ukiwa mainstream ni ngumu kuandika wimbo kama "SHAHIDI" huwezi kuandika "KIFO"
Skiliza album kama Super Nyota alafu skiliza The verteller ndio utaona tofauti ilipo, sio kwamba Young killer hawezi kufanya anachofanya Dizasta vina, hapana bali Hana hizo Gut's, sasa hicho ndio Dizasta hataki kukipoteza pindi atakapokuwa mainstream Kwa sababu mainstream wana code zao
Dizasta vina hawezi kuandika eti "Napotokea hakuna alietoboa labda alietoboa maskio" ili tu watu wafurahi na apate viewer's wengi au streaming za kutosha ila hao watu wasijifunze chochote kupitia uandishi wake
“ George Ambangile “ wa bongo hiphop 🫡
Unaichambua vizuri sana hiphop yetu tunafurahi kupata hivi vitu








