Oh diwani!! Kwanini CCM hawakumnunulia gari kutimiza majukumu yake? RIP
Si bure kuna wanao kutumia bila ya ww mwenyewe kujua !
..........maskini! Jimbo limepotea hilo!Diwani wa kata ya mwawaza jimbo la shinyanga mjini amefariki dunia baada ya kupata ajali ya pikipiki
source; mimi mwenyewe niko eneo la tukio
R.I.P Diwani,tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi!Ila mkuu ni vizuri watu wakajua alikuwa chama gani,sema labda maneno kama magamba au magwanda yasitumike na badala yake yatumike majina sahihi ya vyama kama ccm au chadema
Kwa hiyo kufa kufaana siyo?R.I.P. Diwani.
Mzee wa Rula, Issue siyo Superiority au Inferiority, Issue ni Kata liko wazi wapambanaji wakapige kambi kulikomboa!
Sisi tupo pale kuhakikisha kama kweli amekufa ili CDM tuchukue kata yetu, Yeye RIP
tukachukue kata haraka!