Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
CCM mnataka na sisi tuanze kazi ya utekaji? Mnaona sasa hasara za kuhalalisha silaha hata kwa majambazi? Kwa kitendo hiki sasa nashawishika kusema CCM ni CHAMA CHA MAJAMBAZI.BAAAAAAS!!!!!!!!!
Mkuu mimi nimehusika vipi kwenye tarifa hii..Haya mambo haya sasa naanza kutoyaamini!!
Crashwise, hiyo story yako ina matundu mengi sana.
!!
Mkuu mimi nimehusika vipi kwenye tarifa hii..
Ni kama wanazotumia majambazi kipindi wakienda kufanya matukio.mkuu hiyo namba lazma itakuwa haiexist
Ni kama wanazotumia majambazi kipindi wakienda kufanya matukio.
Diwani wa CDM Ndg Nanyaro Ephata alitekwa yeye na mwenzake mmoja aitwaye Boniface na kupelekwa kusikojulikana. Wakiwa njiani kurudi hotelini ghafla walivamiwa na watu ambao walikuwa katika Toyota Landcruiser S/W T 203 BKW na kutekwa.
Huo ulikuwa ni usiku wa saa saba ambapo walikuwa wamemaliza kikao chao na kwenda kupaki magari mbali kidogo na hoteli waliyofikia ambayo haina parking. Wakiwa ndani ya gari, waliambiwa kuwa wasali sala zao za mwisho kwani kiherehere chao ndicho kilichowaponza! Baada ya kusikia hivyo Nanyaro ambae ni diwani wa Chadema Arusha kata ya Revolosi alijipanga ama afe yeye au wao nao wafe, hivyo alimrukia dereva na kuanza kung'an'gania steringi ili gari lipoteze mwelekeo. Kuona balaa limeanza jamaa mmoja alikimbia katika hao watekaji na kubaki watatu.
Dereva alipoona anashindwa kulimudu gari alimpa kipigo Nanyaro na kumsukuma nje ya gari yeye na mwenzake na kuondoka kwa kasi. Huo ulikuwa ni usiku na porini, kibaya zaidi katika purukushani ile jamaa walidondosha simu katika gari lile. Wakajitahidi kufika mjini na kupata msaada toka kwa viongozi wa CDM na kwenda kulipoti tukio hilo polisi ambapo walipofika walikuta tayari wameshafunguliwa kesi na wale jamaa kuwa walitaka kuwateka hao jamaa na wao walifanikiwa kuwadhibiti na kuwapora simu! Basi ikabidi nao watoe maelezo ambayo yalipelekea kurudishiwa simu zao!
Angalizo langu, tabia hii ya utekaji watu naona imeanza kushamiri, tabia hii ni mbaya na inapaswa kukomeshwa mara moja.
Haya mambo haya sasa naanza kutoyaamini!!
Crashwise, hiyo story yako ina matundu mengi sana.
1)akamrukia dereve...........washirika wa dereva wakakimbia, je gari ilikuwa imesimama au inatembea? na ni station wagon, right?
2) dereva aliyepewa roba au ambaye anapambana na mtu aliyeng'ang'ania steering wheel huku gari ikitembea, aliwezaje kumpa kipigo Ephata, na kumtupa nje ya gari?? na huyo mwenzake Ephata alikuwa anafanya nini??
hizi story zinaanza kuniudhi sasa!!
Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa !
Mkuu mimi nimehusika vipi kwenye tarifa hii..
Magwanda kwa Magwanda yanapambana! Angalizo tu msije kumwagiana Tindikali
pole sana.Leo utapata sh ngapi?