kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
- Thread starter
- #21
Kama vile ulikuwa akilini mwangu,huyu jamaa wanammaliza.
wanasiasa wa bongo wengi sana ni vilaza tu sijui hata kama huwa wanasoma maana mambo wanayoyafanya ni local sana!eti mtu waziri mzima anapewa degree ya zawadi nae anakubali na kufurahia akiitwa dokta wakati wengine wanahangaikia miaka nenda rudi tabu tupu!sijui hata tunakwenda wapi na mambo haya wameanza kurithishana na kwa watoto wao!