mkuu hkl 1.9 bado upo kwenye competition kubwa sana... kwani kipindi umeamuwa kusoma hkl malengo yako yalikuwa nini ..? tuanzie hapo then wadau tutajaribu kukupa muongozo.
nilikuwa na ndoto za kusoma Law.mkuu hkl 1.9 bado upo kwenye competition kubwa sana... kwani kipindi umeamuwa kusoma hkl malengo yako yalikuwa nini ..? tuanzie hapo then wadau tutajaribu kukupa muongozo.
Kusoma ni jambo moja,kupata kazi ni jambo la pili, hakuna anayependa kukaa mtaani badala ya kufanya kazi,kwa chochote utakachokisomea kwanza mtangulize Mungu na pia kujuana siku hizi ni determining factor nyingine,kama uko poa kwa hayo waweza kwenda law ila kama hauna mtandao soma social pofessions utaweza baadae kutoka independently
nilikuwa na ndoto za kusoma Law.