Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Kwa historia ya kale na Tanzania kulikuwa na Mfumo wa divide and Rule hii ilikuwa ni Aina au Mfumo wa uongozi.
Mfumo huu ulikuwa unatumika kuwagawa na kuwatawala.
Naam, why divide and Rule with Samia? Bila shaka Samia Mimi nampachika sifa ya kuwa Best Female Acrobatic (BFA) Hiki ni cheo/sifa ninayo mtunuku Samia bila kujali kipo au hakipo.
Namsifu hivi Samia si kwa uongozi wake mzuri, hapana bali kwa sarakasi anazo wachezea Wapinzani jumuisha na wana CCM yaani kwa Lugha nyepesi anawapoteza maboya. Nani asiyejuwa kuhusu sarakasi hizi?
Yaani mfumo anao tumia Samia kwa sasa ni divide and Rule kwa Sababu anacheza na akili zetu kwa kuwatenganisha harafu anawatawala.
Nani asiye juwa kuwa Dr. Slaa alikuwa mwana CHADEMA hatari? Nani asiyejuwa kuwa Mbowe ni mwana CHADEMA mzuri? Lakini huwezi amini kwa sasa kisiasa Samia kawatenganisha lakini kiutawala wote anawatawala.
Ndani ya CCM kumeibuka Matabaka Gangs yaani Nasikia sikia kuna Sukuma Gang na Mkojani Gang (Hii gang limefungamana na Msoga Gang) haya Makundi binafsi siyafahamu ila naskia mtandaoni tu.
Sasa hii mbinu imetumika ni divide hapa kundi moja limetenganishwa na kuzaa makundi kadhaa ili asielewana na Samia ame kama Suluhu kwa haya Makundi ili iwe rahisi kuwatawala.
Hivyo hivyo kwa CHADEMA kuna kundi lilizaliwa (divided) na kuitwa Covid-19 (Wabunge wasio na sifa ya Ubunge bungeni). Hebu jiulize waliokuwa CHADEMA leo hii wanaitwa Covid-19 na wanachadema wenyewe, lakini Pia hao wamekingiwa kifua na serikali na serikali hiyo hiyo ipo pamoja na wana CHADEMA wanao waita wenzao Covid-19.
Hongera mwana sarakasi wangu bora wa kike na chief wa machief (Hangaya) kwa mfumo wa divide and Rule wengine wanakuongezea sifa na kusema unaupiga mwingi.
Mfumo huu ulikuwa unatumika kuwagawa na kuwatawala.
Naam, why divide and Rule with Samia? Bila shaka Samia Mimi nampachika sifa ya kuwa Best Female Acrobatic (BFA) Hiki ni cheo/sifa ninayo mtunuku Samia bila kujali kipo au hakipo.
Namsifu hivi Samia si kwa uongozi wake mzuri, hapana bali kwa sarakasi anazo wachezea Wapinzani jumuisha na wana CCM yaani kwa Lugha nyepesi anawapoteza maboya. Nani asiyejuwa kuhusu sarakasi hizi?
Yaani mfumo anao tumia Samia kwa sasa ni divide and Rule kwa Sababu anacheza na akili zetu kwa kuwatenganisha harafu anawatawala.
Nani asiye juwa kuwa Dr. Slaa alikuwa mwana CHADEMA hatari? Nani asiyejuwa kuwa Mbowe ni mwana CHADEMA mzuri? Lakini huwezi amini kwa sasa kisiasa Samia kawatenganisha lakini kiutawala wote anawatawala.
Ndani ya CCM kumeibuka Matabaka Gangs yaani Nasikia sikia kuna Sukuma Gang na Mkojani Gang (Hii gang limefungamana na Msoga Gang) haya Makundi binafsi siyafahamu ila naskia mtandaoni tu.
Sasa hii mbinu imetumika ni divide hapa kundi moja limetenganishwa na kuzaa makundi kadhaa ili asielewana na Samia ame kama Suluhu kwa haya Makundi ili iwe rahisi kuwatawala.
Hivyo hivyo kwa CHADEMA kuna kundi lilizaliwa (divided) na kuitwa Covid-19 (Wabunge wasio na sifa ya Ubunge bungeni). Hebu jiulize waliokuwa CHADEMA leo hii wanaitwa Covid-19 na wanachadema wenyewe, lakini Pia hao wamekingiwa kifua na serikali na serikali hiyo hiyo ipo pamoja na wana CHADEMA wanao waita wenzao Covid-19.
Hongera mwana sarakasi wangu bora wa kike na chief wa machief (Hangaya) kwa mfumo wa divide and Rule wengine wanakuongezea sifa na kusema unaupiga mwingi.