By hair
Senior Member
- Sep 6, 2013
- 141
- 37
Si mmnajua tena mambo Yale boys kupelekwa girls kukiwa na sherehe Fulani hivi.sasa wanafunzi wa Mazengo sec kipindi hicho,wakapelekwa msalato sec,ilikuwa wanaagwa form six,ikafika mda wa disco sasa, Mara blues hili hapa,Bahati mbaya form one wa Mazengo akawa anacheza na form six wa msalato,si akajikweza eti yupo form four,story story dada akamuuliza pale kwenu mna kombi ngapi? Dogo kwa kujiamini akasema tuna kombi moja tu,ya mwalimu kafumu tena ni mbovu ipo juju ya mawe, dada mmmmmhh