DIRECT SITES for DOWNLOADS

who cares kama ni legal au illegal? as long as unapata movies au pirated software who really cares? wazungu ndo wanaziweka maana yake hata wao kununua ni ishu sasa sisi hata kutumia credic card wengi hatujui halafu ulete ishu za legal au illegal

lately, they have been tracking illegal users and arresting them.
 
Ismailsimba ndo maana tunatumia teknolojia ya kudownload anoynimously maana most of stuff kwenye net ni illegal
 
Last edited by a moderator:
na hizo TV & Movie links unazoshare I suppose are paid for legal downloads? haha, usinifurahishe mkuu, na kusema kwamba magnetic links are slower than direct downloads ni uongo mtupu.
fastest speed on any airtel line ni 350kb/s, piga hiyo speed kwa direct downloads ndo useme maneno kama hayo. streaming is the only thing thats faster than magnetic links and thats only when you can't max out on your download speeds

Kaka hiyo speed ya 350kbps toka lini mimi Airtel kila siku naangusha GBs kwa hadi 900kbps??
 
lately, they have been tracking illegal users and arresting them.

you can't be arrested for downloading stuff off the internet. bado hatujapata sheria kama hizo. but they can scare you. na ndo maana juzi kati MPAA (Motion Picture Association of America) walikuwa wanapigania kuwe na law ya kuzuia downloads kwa internet SOPA (Stop Online Piracy Act) na hata hiyo haijawa bill, na sidhani kuna nchi duniani ina law za kufunga watu kwa downloading stuff off the internet

lakini baada ya kusema hayo yote, kumbuka kuwa hizi downloads zinachukuliwa vibayani wenye hizi kampuni za kutengeneza movies (Bollywood, Hollywood, Global Publishers etc.) na wote tunajua hii dunia ni yenye hela zao ergo u download ukijua unaweza fungwa hata kama sheria haihusiani
 
Kaka hiyo speed ya 350kbps toka lini mimi Airtel kila siku naangusha GBs kwa hadi 900kbps??


kb/s na kbps ni vitu viwili tofauti mno mkuu. hapa bongo hamna mobile network provider anayetoa speed kama 900kb/s hata kama inawezekana. then again naweza kuwa wrong, piga snapshot uweke hadharani
 
you can't be arrested for downloading stuff off the internet. bado hatujapata sheria kama hizo. but they can scare you. na ndo maana juzi kati MPAA (Motion Picture Association of America) walikuwa wanapigania kuwe na law ya kuzuia downloads kwa internet SOPA (Stop Online Piracy Act) na hata hiyo haijawa bill, na sidhani kuna nchi duniani ina law za kufunga watu kwa downloading stuff off the internet

lakini baada ya kusema hayo yote, kumbuka kuwa hizi downloads zinachukuliwa vibayani wenye hizi kampuni za kutengeneza movies (Bollywood, Hollywood, Global Publishers etc.) na wote tunajua hii dunia ni yenye hela zao ergo u download ukijua unaweza fungwa hata kama sheria haihusiani

kwa Tz hakuna sheria itakayokufunga, ila naona ni bora ukajizoesha kuepukana na illegal downloads, kwa kudownload from legal sites.
 
kb/s na kbps ni vitu viwili tofauti mno mkuu. hapa bongo hamna mobile network provider anayetoa speed kama 900kb/s hata kama inawezekana. then again naweza kuwa wrong, piga snapshot uweke hadharani

mimi natumia tigo, speed ni 3.6mbps, na download had GB 1 ndani ya li saa.
 
kwa Tz hakuna sheria itakayokufunga, ila naona ni bora ukajizoesha kuepukana na illegal downloads, kwa kudownload from legal sites.

as long as unadownload things for free, uwezekano wa kuwa ni legal ni mdogo mno. na ningependa kudownload legally ila mkuu unajua bei ya movie na series?
15$ kununua movie mpya ya Jason Statham (Safe House) kutoka kwa iTunes iTunes - Movies - Safe

sasa mkuu, I earn less than 300k kwa mwezi, nitacheki movie ngapi maisha haya? wangekuwa considerate hawa watengeneza mziki na movie (tayari Safe House imewapa zaidi ya $200m in profit) nisingepata shida kuchangia, ila kusema ninunue movie moja elfu ishirini na..
labda una uwezo mkuu, ila mi kwangu.. bado sana
 
leh na ismailsimb marekani na uingereza unaweza fungwa kudownload illegal mp3 hata kama ni file la 5mb
 
Last edited by a moderator:
kb/s na kbps ni vitu viwili tofauti mno mkuu. hapa bongo hamna mobile network provider anayetoa speed kama 900kb/s hata kama inawezekana. then again naweza kuwa wrong, piga snapshot uweke hadharani

vodacom wanafkisha hio speed ila inafika kidogo tu then inashuka (kwa sababu mwisho wa speed za modem zao ni 7.2mbps).

Mi kuna maeneo flan flan speed inarange 600-900 haipo stable ila haishuki chini dashboard hio

voda.jpg

Kama unavoona 2gb dk 35 tu
 
Back
Top Bottom