DIRECT SITES for DOWNLOADS

Kuna hii site hapa wanashare tv shows na movies kwa ajili ya kustream, inafanya kazi vizuri hata kwenye slow connection, kama unataka maelekezo jinsi ya kudownload kwenye site hii ni PM.
 
magnetic links share mostly illegal contents, and they are slow compared to direct links.

na hizo TV & Movie links unazoshare I suppose are paid for legal downloads? haha, usinifurahishe mkuu, na kusema kwamba magnetic links are slower than direct downloads ni uongo mtupu.
fastest speed on any airtel line ni 350kb/s, piga hiyo speed kwa direct downloads ndo useme maneno kama hayo. streaming is the only thing thats faster than magnetic links and thats only when you can't max out on your download speeds
 
mkuu leh hebu dadavua kidogo tuelewane

ni hivi mkuu, kuweka site ya direct downloads ni more expensive kuliko kuweka site ya torrents. hii ni kutokana na kuwa more space is needed to host the files on a file server wakati magnetic links are just a few MBs. hii inasababisha mambo kama haya

1. advertisement- ili kulipia costs za server, walioweka hizi files wanaweka advertisements kibao on their pages. sisemi kwamba torrent sites hazina, ila sio as many advertisements as hizi za direct downloads

2. less files- kwa kuwa kuweka files on a server ni expensive, wanaoweka hizi files on the web wanaweka very few files on the web kumaintain reasonable paying rates. mostly wanaweka the most popular movie/ show on TV at the moment. torrents on the other hand are indiscriminative. haijalishi kama movie au TV show ni ya zamani or was not so popular, if its out there, its most probably on a torrent

3. uzinguanaji- hizi direct downloads are usually kept on servers that pay their uploaders (ulijua hilo??). lakini sasa, ili waweze kuwalipa, nao inabidi uwalipe ili wakuachie upate top speeds (they call it premium membership) au sio hivyo, unazungushwa through advertisements and time wastage & bado wanabana speed. na kitu kingine ni kuwa these file servers hufuta hizi files every few weeks to save space (kumbuka kuwa they need to save these files on servers. wangeacha zote they would use trillions of TBs) so kama umechelewa, hupati ulichotaka. not so with torrents as torrents hutumia data saved on peeps computers ergo, kama mtu bado anayo kwa hdd yake na anatumia net, unaweza pata. example moja nzuri ni comedy series moja iitwayo Off Center. hii show niliona enzi hizo while I was doing my first degree. ukitafuta kwa direct downloads, maisha yako huji kuiona as iliishia two seasons na was not very popular. ila kwa torrent, two seconds and upo tayari kudownload

4. kumaintain a direct download site ni kazi. ni lazima u constantly check for missing files and re upload them. upload speeds ni za ajabu duniani kwote (always download speeds ni higher), unakuta hawa walioweka hizi sites kama episode moja au mbili zimefutwa ni servers, hawajichoshi kupandisha nyingine.

5. quality & size- kwa kuwa wantumia servers kuweka vitu hewani, direct download sites huchagua size over quality. nachomaanisha ni kuwa ni ngumu sana kupata HD movies kwa direct sites as hizo size ni kubwa mno. na kama ni vitu kama games ambazo zinatumia GB nyingi, wanapasua into pieces na kukupa mda mkubwa kutafuta every piece and to download it (hebu fikiri umeangusha game kama NFS: The Run ya 15GB kwa piece thelathini za mb 500 each ukakuta the final piece imefutwa ni servers na huwezi unganisha half files) haha

na ninaweza endelea kukupa sababu nyingi kwanini direct downloads haina maana. mkuu, kama unataka kudownload seriously, labda we mpenzi wa movies au gaming au chochote kile, huwezi tumia direct downloads. they are unreliable. nikupe mfano.. kuna site moja, link yake hii BoB Releases. hawa wakuu nimewafahamu for more than two years na mie nimependelea kazi zao kuliko zote because ya file size na quality ya show zao. wao kama wao wameupload zaidi ya series 100 tofauti, na nina kama 300GB ya kazi zao. walikuwa among watu wa kwanza kutumia mfumo wa .mkv (video format that compresses space) na mpaka leo sijapata series zinazopendeza kwa size kama ile yao. ila sasa, over the years wamepata shida nyingi (ukifuatilia humo ndani utaona malalamiko yao) kuweza kumaintain kuweka files hewani kwa usumbufu wa servers na prices na vinginevyo.
kwa sasa hawapo hewani, links karibu zote mle ndani zimekufa. huwezi fananisha na torrent sites ambapo hata the pirate bay ikifungwa leo, na una torrent uliyotoa pale, huachi kupata
torrents ni simple kutumia na hassle free. unatafuta unachotaka, unasoma wenzako wameongeleaje kuhusu link unayotaka kuchukua, unaclick download this magnet link, na umemaliza, kilichobaki ni kusubiri.

do I need to say more? jizoeshe kutumia torrents, utapenda mbona
 
ila twende huku turudi kule ukitaka udownload kwa full speed tafuta streaming links then download kwa idm. Maana streaming haihitaji seed wala tracker, haiwi limited kwenye speed stream ni stream labda quality ipungue but speed haiwez kua limited,

Its better udownload kwao watu kama putlocker,sockshare,videoweed,veehd,gorilavid,moviereel na novanov.

Leeh hebu test kwako anza torrent yenye seeders wengiii(piratebay) then download direct http yenye speed kubwaaa (mediafire) halafau download streaming video (youtube) utaona wapi wapo vizuri
 
ila twende huku turudi kule ukitaka udownload kwa full speed tafuta streaming links then download kwa idm. Maana streaming haihitaji seed wala tracker, haiwi limited kwenye speed stream ni stream labda quality ipungue but speed haiwez kua limited,

Its better udownload kwao watu kama putlocker,sockshare,videoweed,veehd,gorilavid,moviereel na novanov.

Leeh hebu test kwako anza torrent yenye seeders wengiii(piratebay) then download direct http yenye speed kubwaaa (mediafire) halafau download streaming video (youtube) utaona wapi wapo vizuri

jibu ni youtube kaka!!
 
na hizo TV & Movie links unazoshare I suppose are paid for legal downloads? haha, usinifurahishe mkuu, na kusema kwamba magnetic links are slower than direct downloads ni uongo mtupu.
fastest speed on any airtel line ni 350kb/s, piga hiyo speed kwa direct downloads ndo useme maneno kama hayo. streaming is the only thing thats faster than magnetic links and thats only when you can't max out on your download speeds

mimi nina ushahd, nimedownload direct linkz, na nimedownload magnetic linkz na nikaona direct ziko fasta, kama we unaamini vice versa bac fresh.
 
huna maana na lazima utakuwa dio wale wenye roho za korosho

mi cna roho ya korosho, ila ckupost hapa sababu ckudhani kama yupo mtu ambae yuko interested. Maelezo haya ni wa kwa watumiaji wa windows zote- 1. Hakikisha una adobe flash player latest version(v.11). 2. Search google 'Orbit Downloader free download' na uclick link ya Softpedia, kisha i-download hiyo orbit downloader(ni freeware) na uinstall(wakati wa kuinstall usisahau kucheck option ya,'enable grab pro for IE. 3. Fungua IE na uende tubeplus kisha search tv show/movie uitakayo, click link yoyote ya video, then close ads halafu play video, subiri kama sekunde 30, halafu pitisha pointer hapo video inapo load/play katatokea ka-attachment kameandikwa get it, ka click itafunguka window ya kudownload, subiri paka size ya download itokee kisha click download, itaanza kudownload.
 
ila twende huku turudi kule ukitaka udownload kwa full speed tafuta streaming links then download kwa idm. Maana streaming haihitaji seed wala tracker, haiwi limited kwenye speed stream ni stream labda quality ipungue but speed haiwez kua limited,

Its better udownload kwao watu kama putlocker,sockshare,videoweed,veehd,gorilavid,moviereel na novanov.

Leeh hebu test kwako anza torrent yenye seeders wengiii(piratebay) then download direct http yenye speed kubwaaa (mediafire) halafau download streaming video (youtube) utaona wapi wapo vizuri

ni kweli, streaming sites ziko fasta zaidi.
 
mi cna roho ya korosho, ila ckupost hapa sababu ckudhani kama yupo mtu ambae yuko interested. Maelezo haya ni wa kwa watumiaji wa windows zote- 1. Hakikisha una adobe flash player latest version(v.11). 2. Search google 'Orbit Downloader free download' na uclick link ya Softpedia, kisha i-download hiyo orbit downloader(ni freeware) na uinstall(wakati wa kuinstall usisahau kucheck option ya,'enable grab pro for IE. 3. Fungua IE na uende tubeplus kisha search tv show/movie uitakayo, click link yoyote ya video, then close ads halafu play video, subiri kama sekunde 30, halafu pitisha pointer hapo video inapo load/play katatokea ka-attachment kameandikwa get it, ka click itafunguka window ya kudownload, subiri paka size ya download itokee kisha click download, itaanza kudownload.

Nilikudhani ndivyo sivyo. Big up japo mimi kwa uelewa wangu mdogo wa IT au computer Science nimetoka kapa kwa leo. Ila ntafuatilia mpaka nielewe kila ulichokielekeza
 
Torrents (P2P) ni njia bora ya ku share na kupata vitu kwenye internet for free, there's no other better way. Check sites kama:

1. The Pirate Bay
2. KickAssTorrents (mi fave)
3. Isohunt nk

Ukitaki file search, kama hayipo request! Oh, and until August 2012, kulikuwa na Demonoid......
 
Torrents (P2P) ni njia bora ya ku share na kupata vitu kwenye internet for free, there's no other better way. Check sites kama:

1. The Pirate Bay
2. KickAssTorrents (mi fave)
3. Isohunt nk

Ukitaki file search, kama hayipo request! Oh, and until August 2012, kulikuwa na Demonoid......

Demonoid *sigh* nimekuwa member pale almost three years sasa, and am very sad wamefungiwa. inahuzunisha kwamba unanunua kitu lakini ukigawa kwa mwenzako inaitwa wizi. nisigawe na lift au? hopefully watarudi kama TPB walivyorudi
long live torrents

1zxrrc4.jpg
 
magnetic links share mostly illegal contents, and they are slow compared to direct links.
who cares kama ni legal au illegal? as long as unapata movies au pirated software who really cares? wazungu ndo wanaziweka maana yake hata wao kununua ni ishu sasa sisi hata kutumia credic card wengi hatujui halafu ulete ishu za legal au illegal
 
Back
Top Bottom