Dira ya miaka ya 25 haitaleta mabadiliko makubwa kwa Tanzania

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,350
Serikali iko katika mpango wa kuandaa dira au mpango wa maendeleo wa miaka 25 ijayo kwa nchi hii(2025-2050). Jambo hili halina tija kwa sababu nyi sana na hizi na baadhi tu.

1. Mipango ya muda mrefu hivi tumeiga kutoka nchi za kijamaa na Kikomunisti za Asia. Hata hivyo hiko ilifanikiwa katika nchi za kijamaa huko kwa sababu ya "controlled economy", Serikali ilikuwa ndiye mdhibiti mkuu wa uchumi ikipanga kila kitu. Sasa hivi tuko katika uchumi wa kibepari.

2. Hatuna uwezo mzuri wa kutabiri muda mrefu hivyo, hatuna nyenzo za kujua nchi yetu itakabiliwa na mambo gani makubwa miaka 25 ijayo.

3. Sisi bado ni taifa Masikini ambalo tunategema mikopo na misaada kwa kiwango kikubwa. Ni vigumu kupanga miaka 25 ijayo ikiwa hujui hata pesa za kutekeleza hiyo mipango itakuja.

4. Watawala wakuu wanaobadilika huwa hawazingatii au hawabanwi kutimiza mipango hii ya muda mrefu. Kila mmoja huwa anakuja na vipaumbele vyake tofauti na mwenzake aliyemtangulia.

5. Mipango ya muda mfupi ndio mizuri kuhakikisha uwajibikaji unakuwa mkubwa kuliko hiyo ya muda mrefu.

Hivyo basi tujikite katika mipango ya miaka mitano kwa sababu ndio yenye uhalisia zaidi kwa taifa letu.
 
Njia ya Uhakika ya kuitoa CCM ni mapinduzi ya kijeshi. Kwenye uchaguzi wanaibaga kura kupitia vyombo vya ulinzi.


Siku ambayo vyombo vya ulinzi vikikataa kutumika kuiba kura ndio itakuwa mwisho wa CCM.
Hao vyombo vya ulinzi wanaotumika kuiba kura si ni Watanzania?

Kwa nini tusianze kuwaelimisha wenetu ubaya wa CCM ili hata wakiajiriwa na kuteuliwa huko wajue wanaishi na shetani wanayepaswa kumtenganisha na Tanzania Huru?
 
Hao vyombo vya ulinzi wanaotumika kuiba kura si ni Watanzania?

Kwa nini tusianze kuwaelimisha wenetu ubaya wa CCM ili hata wakiajiriwa na kuteuliwa huko wajue wanaishi na shetani wanayepaswa kumtenganisha na Tanzania Huru?
Polisi😂, jeshi😂, usalama😂, Wasiitetee ccm? Eti uwaelimishe polisi, usalama, jeshi, juu ya ubaya wa CCM?😂😂😂😂

Yaani bila mapinduzi ya kijeshi CCM hawatoki 😂.

Siku ccm wakipinduliwa, ndio mtaona sasa watu wanaanza kufunguka. Kwa sasa kila mtu anaufyata kimyaaa, wanakwambia, askari nidhamu na utii. Usipotii ni uhaini 😂😂😂.

Kwa hiyo askari akitumwa kuiba kura yeye kazi yake ni kutekeleza maagizo! Anaiba!, akimbiwa piga bomu! anapiga!, akiambiwa piga risasi! anapiga!, akimbiwa kamata!anakamata! Ukimuuliza anasema ni maagizo toka JUU.

Je juu ni nani? Ukifatilia hierarchy ya majeshi na vikosi, marpc ni ccm,hata majeshini wengi ni ccm na utakuta mwisho ni viongozi wa kisiasa wa CCM. Suluhisho ni hiyo JUU kuondolewa. Na njia pekee ya kuiondoa JUU ni kupindua CCM.
 
Serikali iko katika mpango wa kuandaa dira au mpango wa maendeleo wa miaka 25 ijayo kwa nchi hii(2025-2050). Jambo hili halina tija kwa sababu nyi sana na hizi na baadhi tu

1.Mipango ya muda mrefu hivi tumeiga kutoka nchi za kijamaa na Kikomunisti za Asia. Hata hivyo hiko ilifanikiwa katika nchi za kijamaa huko kwa sababu ya "controlled economy", Serikali ilikuwa ndiye mdhibiti mkuu wa uchumi ikipanga kila kitu. Sasa hivi tuko katika uchumi wa kibepari.

2.Hatuna uwezo mzuri wa kutabiri muda mrefu hivyo, hatuna nyenzo za kujua nchi yetu itakabiliwa na mambo gani makubwa miaka 25 ijayo.

3.Sisi bado ni taifa Masikini ambalo tunategema mikopo na misaada kwa kiwango kikubwa. Ni vigumu kupanga miaka 25 ijayo ikiwa hujui hata pesa za kutekeleza hiyo mipango itakuja.

4. Watawala wakuu wanaobadilika huwa hawazingatii au hawabanwi kutimiza mipango hii ya muda mrefu. Kila mmoja huwa anakuja na vipaumbele vyake tofauti na mwenzake aliyemtangulia.

5.Mipango ya muda mfupi ndio mizuri kuhakikisha uwajibikaji unakuwa mkubwa kuliko hiyo ya muda mrefu.

Hivyo basi tujikite katika mipango ya miaka mitano kwa sababu ndio yenye uhalisia zaidi kwa taifa letu.
TANZANIA KUPATA MAENDELEO CHINI YA CCM NI NDOTO YA MCHANA KAMA KWA MIAKA 62 NCHI BADO INAHANGAIKA NA MATUNDU YA VYOO NA MADAWATI HAKUNA JIPYA KWA HIYO DIRA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Polisi😂, jeshi😂, usalama😂, Wasiitetee ccm? Eti uwaelimishe polisi, usalama, jeshi, juu ya ubaya wa CCM?😂😂😂😂

Yaani bila mapinduzi ya kijeshi CCM hawatoki 😂.

Siku ccm wakipinduliwa, ndio mtaona sasa watu wanaanza kufunguka. Kwa sasa kila mtu anaufyata kimyaaa, wanakwambia, askari nidhamu na utii. Usipotii ni uhaini 😂😂😂.

Kwa hiyo askari akitumwa kuiba kura yeye kazi yake ni kutekeleza maagizo! Anaiba!, akimbiwa piga bomu! anapiga!, akiambiwa piga risasi! anapiga!, akimbiwa kamata!anakamata! Ukimuuliza anasema ni maagizo toka JUU. Je juu ni nani? Ukifatilia hierarchy ya majeshi na vikosi,marpc ni ccm,hata majeshini wengi ni ccm na utakuta mwisho ni viongozi wa kisiasa wa CCM. Suluhisho ni hiyo JUU kuondolewa. Na njia pekee ya kuiondoa JUU ni kupindua CCM.
Mashokolo mageni mie😀
 
Serikali iko katika mpango wa kuandaa dira au mpango wa maendeleo wa miaka 25 ijayo kwa nchi hii(2025-2050). Jambo hili halina tija kwa sababu nyi sana na hizi na baadhi tu

1.Mipango ya muda mrefu hivi tumeiga kutoka nchi za kijamaa na Kikomunisti za Asia. Hata hivyo hiko ilifanikiwa katika nchi za kijamaa huko kwa sababu ya "controlled economy", Serikali ilikuwa ndiye mdhibiti mkuu wa uchumi ikipanga kila kitu. Sasa hivi tuko katika uchumi wa kibepari.

2.Hatuna uwezo mzuri wa kutabiri muda mrefu hivyo, hatuna nyenzo za kujua nchi yetu itakabiliwa na mambo gani makubwa miaka 25 ijayo.

3.Sisi bado ni taifa Masikini ambalo tunategema mikopo na misaada kwa kiwango kikubwa. Ni vigumu kupanga miaka 25 ijayo ikiwa hujui hata pesa za kutekeleza hiyo mipango itakuja.

4. Watawala wakuu wanaobadilika huwa hawazingatii au hawabanwi kutimiza mipango hii ya muda mrefu. Kila mmoja huwa anakuja na vipaumbele vyake tofauti na mwenzake aliyemtangulia.

5.Mipango ya muda mfupi ndio mizuri kuhakikisha uwajibikaji unakuwa mkubwa kuliko hiyo ya muda mrefu.

Hivyo basi tujikite katika mipango ya miaka mitano kwa sababu ndio yenye uhalisia zaidi kwa taifa letu.
Kuna watu wanapiga pesa ndefu sana kuandaa hiyo dira. Hicho ndicho muhimu kuliko dira yenyewe. Wakitoka hapo ni kuonyesha. "Unaona huo mjengo? Pesa za dira hizo."
 
Mipango miji tu wameshindwa

Wanazungumzia Dira ya miaka 25 ijayo

Ova
Siku tukiona Tanzania imefuata njia za kufanya mabadiliko ya kiuchumi alofanya Deng Xiaoping miaka ya 70 na kuusimamisha mji wa Shenzhen, ndo tutaelewa hizo dira zina tija yoyote kwa nchi hii.

Mwaka 2017 Xi Jingping akaja na mpango wa kujenga mji mwingine wa kibiashara uitwao Xiongan na sasa mji huo umekamilika.

Mambo haya hutufanya tujiulize wenzetu hufanya vipi?
 
Kinachotakiwa kubadilika ni mindsets zetu na hasa za viongozi wetu ambao wao wanawaza kupata mamlaka tu ili watupige.

Walinde biashara zao, wazikuze, walinde na familia zao.

Hili tabaka la wakoloni weusi ndio kansa ambayo tukifanikiwa kuitibu tutapiga hatua kama Taifa.
 
Serikali iko katika mpango wa kuandaa dira au mpango wa maendeleo wa miaka 25 ijayo kwa nchi hii(2025-2050). Jambo hili halina tija kwa sababu nyi sana na hizi na baadhi tu.

1. Mipango ya muda mrefu hivi tumeiga kutoka nchi za kijamaa na Kikomunisti za Asia. Hata hivyo hiko ilifanikiwa katika nchi za kijamaa huko kwa sababu ya "controlled economy", Serikali ilikuwa ndiye mdhibiti mkuu wa uchumi ikipanga kila kitu. Sasa hivi tuko katika uchumi wa kibepari.

2. Hatuna uwezo mzuri wa kutabiri muda mrefu hivyo, hatuna nyenzo za kujua nchi yetu itakabiliwa na mambo gani makubwa miaka 25 ijayo.

3. Sisi bado ni taifa Masikini ambalo tunategema mikopo na misaada kwa kiwango kikubwa. Ni vigumu kupanga miaka 25 ijayo ikiwa hujui hata pesa za kutekeleza hiyo mipango itakuja.

4. Watawala wakuu wanaobadilika huwa hawazingatii au hawabanwi kutimiza mipango hii ya muda mrefu. Kila mmoja huwa anakuja na vipaumbele vyake tofauti na mwenzake aliyemtangulia.

5. Mipango ya muda mfupi ndio mizuri kuhakikisha uwajibikaji unakuwa mkubwa kuliko hiyo ya muda mrefu.

Hivyo basi tujikite katika mipango ya miaka mitano kwa sababu ndio yenye uhalisia zaidi kwa taifa letu.
Dogo unaongelea kitu unachokijua au umekutana nacho tu JF ukaona nawe ukiongelee? Maana kama ungelikuwa unakijua usingeandika ulivyoandika. Kwa taarifa yako, kwa Tanzania tuna visions za miaka 25, 25 na ndani yake ndio kuna mipango ya miaka mitano mitano. Hata Ilani za Chaguzi mbalimbali za vyama zinatokana na hiyo mipango ya miaka 25 na miaka 5,5.
 
Dogo unaongelea kitu unachokijua au umekutana nacho tu JF ukaona nawe ukiongelee? Maana kama ungelikuwa unakijua usingeandika ulivyoandika. Kwa taarifa yako, kwa Tanzania tuna visions za miaka 25, 25 na ndani yake ndio kuna mipango ya miaka mitano mitano. Hata Ilani za Chaguzi mbalimbali za vyama zinatokana na hiyo mipango ya miaka 25 na miaka 5,5.
Mtoto wa shule hili jambo limekuzidi kimo, funga mdomo wako tu.
 
Polisi, jeshi, usalama, Wasiitetee ccm? Eti uwaelimishe polisi, usalama, jeshi, juu ya ubaya wa CCM?

Yaani bila mapinduzi ya kijeshi CCM hawatoki .

Siku ccm wakipinduliwa, ndio mtaona sasa watu wanaanza kufunguka. Kwa sasa kila mtu anaufyata kimyaaa, wanakwambia, askari nidhamu na utii. Usipotii ni uhaini .

Kwa hiyo askari akitumwa kuiba kura yeye kazi yake ni kutekeleza maagizo! Anaiba!, akimbiwa piga bomu! anapiga!, akiambiwa piga risasi! anapiga!, akimbiwa kamata!anakamata! Ukimuuliza anasema ni maagizo toka JUU.

Je juu ni nani? Ukifatilia hierarchy ya majeshi na vikosi, marpc ni ccm,hata majeshini wengi ni ccm na utakuta mwisho ni viongozi wa kisiasa wa CCM. Suluhisho ni hiyo JUU kuondolewa. Na njia pekee ya kuiondoa JUU ni kupindua CCM.
Hilo jeshi tayari liko mfukoni mwasisiemu.

Wakistaafu wanapewa kiinua mgongo cha maana, sio kama kundi la punda wa serikali(waalimu, polisi, serikali za mitaa n.k)

Pia wanapewa teuzi za maana kama ubalozi n.k
 
Serikali iko katika mpango wa kuandaa dira au mpango wa maendeleo wa miaka 25 ijayo kwa nchi hii(2025-2050). Jambo hili halina tija kwa sababu nyi sana na hizi na baadhi tu.

1. Mipango ya muda mrefu hivi tumeiga kutoka nchi za kijamaa na Kikomunisti za Asia. Hata hivyo hiko ilifanikiwa katika nchi za kijamaa huko kwa sababu ya "controlled economy", Serikali ilikuwa ndiye mdhibiti mkuu wa uchumi ikipanga kila kitu. Sasa hivi tuko katika uchumi wa kibepari.

2. Hatuna uwezo mzuri wa kutabiri muda mrefu hivyo, hatuna nyenzo za kujua nchi yetu itakabiliwa na mambo gani makubwa miaka 25 ijayo.

3. Sisi bado ni taifa Masikini ambalo tunategema mikopo na misaada kwa kiwango kikubwa. Ni vigumu kupanga miaka 25 ijayo ikiwa hujui hata pesa za kutekeleza hiyo mipango itakuja.

4. Watawala wakuu wanaobadilika huwa hawazingatii au hawabanwi kutimiza mipango hii ya muda mrefu. Kila mmoja huwa anakuja na vipaumbele vyake tofauti na mwenzake aliyemtangulia.

5. Mipango ya muda mfupi ndio mizuri kuhakikisha uwajibikaji unakuwa mkubwa kuliko hiyo ya muda mrefu.

Hivyo basi tujikite katika mipango ya miaka mitano kwa sababu ndio yenye uhalisia zaidi kwa taifa letu.
Hiyo dira ya maendeleo ni mbwembwe tu ili kuonyesha kuwa nchi inaendeshwa na wasomi. Lakini ukweli wa maendeleo ndani ya nchi hii hutegemea hiyo namba 4 tu.
 
Hilo jeshi tayari liko mfukoni mwasisiemu.

Wakistaafu wanapewa kiinua mgongo cha maana, sio kama kundi la punda wa serikali(waalimu, polisi, serikali za mitaa n.k)

Pia wanapewa teuzi za maana kama ubalozi n.k
Kwa taarifa yako wanajeshi wanaopinduaga nchi sio hao wenye vyoe vya juu, maana hao tayari wanakula cake ya taifa. Wanajeshi wanaopinduaga nchi ni wenye vyeo vya chini.
 
Back
Top Bottom