Sasa si ujibu mwamba alikuwa anapizi hewani au vipi ? Hadith inasema alikuwa anajiona anafanya sex na wake zake kumbe sioHili lingine tena umelileta mpaka akili ikuae sawa, ruka ruka tu.
Kwa hiyo ukilogwa ukawa kichaa sio ugonjwa wa akili? Embu weka sawaMalizia hadithi. Sasa huo siyo ugonjwa wa akili, ugonjwa wa akili ni huu ambao unao wewe.
Kwa hiyo lugha ya kiroho ndo hicho kiarabu ama?
Weka nukuu ya maandikoNi lugha ambayo Yeye mwenyewe Mungu atawasiliana na roho zetu huko akhera, ni lugha ambayo yeye mwenyewe anaijua, lakini haziwezi kuwa lugha hizi za kidunia.
Kumbuka kwamba inaposemwa "SIKU YA QIYAMA" haina maana ya siku kama hizi za kidunia za masaa 24 au 12, siku ya Kiyama maana yake ni zama za kiyama yaani ni zama zenye miaka mingi (Era), ni hivi; katika zama hizo watu wote duniani tutakuwa tumekufa na hapo ndipo ufufuo wa roho zetu utakapoanza, roho zitafufuliwa kutoka Barzakh au kaburi la roho na kuingizwa Akhera ambamo zitasubiri hukumu (kiyama), ni hivi; roho za watu waliokufa mapema ndizo zitakuwa za kwanza kufufuliwa mfano mtu aliyekufa miaka 4000 iliyopita roho yake itaanza kufufuliwa kutoka Barzakh na kuingia Akhera kabla ya roho ya yule aliyekufa leo, kwa maneno mengine chukua mfano wa jinsi tulivyozaliwa na kuingia duniani ndivyo hivyo hivyo roho zetu zitakavyofufuliwa kutoka Barzakh kuingia Ulimwengu wa Akhera, roho zikifika Akhera haziendi moja kwa moja kwenye hukumu (kiyama) bali zitakaa kwa muda anaoujua Mungu mwenyewe na ni katika muda huo ndipo roho zitapata mafunzo ya lugha ya mawasiliano kwa ajili ya siku ya hukumu (kiyama), kumbuka roho inafufuliwa kuingia Akhera roho hiyo inakuwa mithili ya mtoto aliyezaliwa na hivyo anafundishwa lugha na kuongea nk, ndivyo hivyo roho Mungu atazifundisha lugha ya kiroho na sio lugha hizi za kimwili za hapa duniani ambazo zipo kwa ajili ya matumizi ya hapa duniani tu.
kiarabu (Classical arabic) ni lugha kama lugha zingine zinazotusaidia katika mawasiliano hapa duniani japo kiarabu ni lugha inayojitosheleza katika kila nyanja kuliko lugha yoyote duniani na yenyewe ndio mama wa Lugha zote na ndio maana kwayo Mungu akateremsha kitabu chake Qur'an kupitia mtukufu mtume Muhammad (saw) kwani Qur'an ilipaswa kushushwa katika lugha iliyokamilika juu ya hayo yote bado kiarabu ni lugha ya kidunia kama lugha zingine.
Kama kiarabu ndio kitumike huko akhera, je ni watu wangapi wanajua hiyo lugha??, vipi viziwi ambao wao hawakujua lugha yoyote isipokuwa lugha za ishara??, je lugha zingine ni za kishenzi??
[emoji16][emoji16]Nabii wa kanisani kwetu Jumapili ya mwezi uliopita[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2314298
Wela nukuu ya andikoTutafundishwa lugha moja ambayo kwayo tutawasiliana na Mungu na sisi wenyewe, isitoshe hiyo lugha ndio tutasima nayo katika siku ya kiyama (siku ya hukumu) katika (zama za Akhera) kujitetea mbele ya Mungu.--- haitakuwa Lugha ya aina yoyote kati ya lugha hizi za duniani.
Hili lingine katika muendelezo wako wa kuandika uongo na kuleta maana ambazo hazipo.Sasa si ujibu mwamba alikuwa anapizi hewani au vipi ? Hadith inasema alikuwa anajiona anafanya sex na wake zake kumbe sio
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Sasa kudhani jambo fulani katika hali isiyo kuwa yenyeww ni ukichaa ? Kijana hili litakupa shida mpaka unakufa.Kwa hiyo ukilogwa ukawa kichaa sio ugonjwa wa akili? Embu weka sawa
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063
Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya
Kwani wewe ukienda hijja huko Israel si unachangia pato lao kupitia utalii wa dini? Sasa hasira za nini?Hawajui hata kwenda kuhiji maka ni chanzo cha mapato kwa nchi ya saudi arabia.. watu wanaoenda kuhiji wanachangia pato la taifa la saudi arabia kupitia utaliii wa kidini
Wela nukuu ya andiko
Mhhh!!,Huko peponi alienda lini kuthibitisha hilo?.
Kweli kuna majitu majinga hapa dunianiSio tu ni lugha bora, ndio lugha pekee anayoisikia na kuielewa Allah.
Addiction,[emoji849]SIO PEPONI TU,hata duianini,kanisani unatumia maneno ya kiarabu na umejifunza ,bila kujijua unajifundisha kiarabu,hata neno salama(kiarabu)Habari(kiarabu)Kanisa(kiarabu)Kitubio(kiarabu)Sadaka(kiarabu)Zaka(kiarabu)Kasisi(kiarabu)Toba(kiarabu)nk.Hata hicho kiswahili,ulichoandika,karibia asilimia kubwa ni maneno ya kiarabu.Ukichunguza zaidi,maneno mengi ya lugha nyingi duniani ni kiarabu,kuna maneno au namba za kiarabu.Kwenye science,maneno mengi ni ya kiarabu,kuanzia masomo yenyewe
1:Chemistry-Kemia ni kiarabu
2.Hisabati ni Kiarabu
3.Doctor -Ductour -Daktari ni kiarabu
4.Namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,ni namba za kiarabu.
5.Mhandisi,ni neno la kiarabu
6.Mwalimu ni neno la kiarabu.
7.Darasa ni neno la kiarabu
8.Elimu ni neno la kiarabu
9.sayari ni neno la kiarabu
10.Rais ni neno la kiarabu
11.Waziri ni neno la kiarabu
12 .Wizara ni neno la kiarabu
13.Neno Swahili ni neno la kiarabu
14.Hatari,Furaha,Rafiki,Tafadhali,Baridi,Dhamiri,Kamusi,Huru,Habari,Kata,Msumari,Kitabu,Mahali,
15.Nyakati,:Asubuhi,Dakika,Saa,Wakati,alasiri,Magharibi,Alfajiri,karne,
16 .Juma(weeki),Alhamisi,ijumaa.
17.Tausi
18.Nusu,Robo,Sita,saba,Tisa,Ishirini,Thelathini,Arubaini,Hamsini,Sitini,Sabiini,Themanini,Tisiini,Mia,Elfu,
19.Dini.
20 Msamiati mwingi unaotumika kwenye dini ya kiislamu na Kikristo una asili ya kiarabu:
Ibada
Msikiti
Kanisa
Zaka
Sadaka
MALAIKA
SHETANI
Thawabu
Dhambi
Kasisi
Imamu
Kitubio
21.Mjina ya kamikali,zote yanayoanzia na Al,kama alkaline,alkal,Alkaline,Alkaloid, nk
Hapo ulipo unatumia maneno ya kiarabu ,bila kujijua au unajijua,lakini huelewi.
Mtu anaambiwa akienda mbinguni anapewa wanawake 70.. kazi yake inakuwa ni kuloweka tu. Nae anashangilia 😄😂 Sasa sijui na wanawake nao wakienda mbinguni watapewa kila mmoja wanaume 70 wa kumshughulikia?
Kisai unajua ni nani alileta uchawi duniani?Sasa kudhani jambo fulani katika hali isiyo kuwa yenyeww ni ukichaa ? Kijana hili litakupa shida mpaka unakufa.
Kazi yangu nimemaliza na mjadala nimeufunga.
Kisai na @ Mokaze nani alifundisha uchawi duniani?Hili lingine tena umelileta mpaka akili ikuae sawa, ruka ruka tu.
Nani alifundisha uchawi duniani?
Simjui.Kisai unajua ni nani alileta uchawi duniani?