Dini ndio iliyoigawa Afrika!!!

Dini ndio iliyoigawa Afrika!!!

Mbona ubaguzi wa eneo na ukabila ndio unaongoza na hausemi...
 
Bora ukristo unashirikiana na kila dini,ila kuna wale wajukuu wa pedophile hao kila mwenyewe imani tofauti na yao ni kafiri hata miongoni mwao hawaminiani.
 
Ukabila na ukanda ndio unaongoza ,kuchafua sijui usioe kabila fulani ni tatizo.

Wengine wanabaguana kisa kipato ,hawa wengine wanabaguana kisa elimu ..Ujinga mkubwa ni demokrasia ya leo ni bora ifutwe ; watuw anabaguana kisa vyama mpaka kufanyiana matukio ya kinyama.
 
Dini nikisingizio tu cha matatizo yetu,ebu niambieni dini inachangiaje wewe,kuwa na msongo wa mawazo, kushinda njaa,kuumwa,kuwa na matatizo mbalimbali??!!,, Kukosa kazi nk nk??,, inachangiaje!??
 
Mbona ubaguzi wa eneo na ukabila ndio unaongoza na hausemi...
Siyo kweli Waafrika wa kabila tofauti wanapendana kuliko dini tofauti hata wakiwa familia moja.

Wakoloni waliweka kipengele cha "dini" kila mahali ili kummiliki mwafrika na siyo kipengele cha "kabila" ndani ya Afrika acha kuendekeza ujinga fikiri!!
 
Dini nikisingizio tu cha matatizo yetu,ebu niambieni dini inachangiaje wewe,kuwa na msongo wa mawazo, kushinda njaa,kuumwa,kuwa na matatizo mbalimbali??!!,, Kukosa kazi nk nk??,, inachangiaje!??
Kila siku au wiki unampelekea mwanaume mwenzio hela anachangisha na kujenga,kununua gari,kula vizuri,nk je wewe huoni kuwa unajiletea umasikini,majonjwa,nk?hufanyi kazi unashinda kanisani kutwa hutengenezi matatizo hapo?

Acha ujinga wa kulishwa basi
 
Dini ndio iliyoigawa Afrika, watu Waafrika amkeni na kuachana na hizo dini ili kupata maendeleo
Inaonekana wewe ulikimbia somo la historia, au ulifeli, vinginevyo usingeandika mada hiyo.

Kugawanyika kwa Afrika kulitokana na Mkutano wa Berlin (1884–1885), ambapo mataifa ya Ulaya yaliigawa Afrika bila kuzingatia tofauti za kijamii na tamaduni za Kiafrika. Mgawanyiko huo haukusababishwa na dini bali siasa za kikoloni.

Dini ni chombo cha maendeleo: Dini(Ukristo na Uislamu), zimechangia sana katika maendeleo ya Afrika kwa kujenga shule, hospitali, vyuo na kusaidia ustaarabu wa maandishi.

Shule za Misheni kote Afrika zilileta elimu ya kisasa. Kama huna habari, hata Waheshimiwa Julius Nyerere na Nelson Mandela walielimika kupitia shule za Kikristo.

Maendeleo si kupinga dini, bali ni kutumia dini vizuri: Mataifa mengi yaliyoendelea (mfano: Marekani, Korea Kusini, Ujerumani) hayajaachana na dini na bado yamepiga hatua kubwa kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom