WA KISHUA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 365
- 130
Eti unajiita Pure Mathematics , Bwana mdogo angalia lugha zako hizo, Tendo la ndoa kwani hao ni Halali yako/wake zako?
hutaki oa mrembo wewe, ataoa asiye na sura ashindwe kumtambulisha mbele za watu
hahha safi kijana wala usiwe na presha hapo chakufanya ni kunata kwa huyo mwenye juhudi alafu mrembo unaendelea kumgegeda tuu....kwanza hao warembo raha sana kuwa chezzea na kujisepea zako