Dillema . . .

Dillema . . .

hahha safi kijana wala usiwe na presha hapo chakufanya ni kunata kwa huyo mwenye juhudi alafu mrembo unaendelea kumgegeda tuu....kwanza hao warembo raha sana kuwa chezzea na kujisepea zako
 
Ebu soma umalize acha kukimbilia uzinifu, necta zitakuumbua
 
Oa wote, kama dini hairuhusu badili ili uwafaudu wote:A S angry:

Nimeipenda hii. Yule wa mwanzo awe anawalingishia marafaki mana-ke kuna hizo, eti marafiki wakusifie yule demu wa ... mkare, wakati hakupi mambo vizuri. Yule wa pili ndo utakuwa unamfaudu bila kuwaringishia marafiki zako mwayego.
 
vitoto bwana
Vinazidiwa ubandidu hata na masokwe. Damn!

attachment.php
 
Nashangaa mpaka sasa hakuna bazazi aliyekuja hapa kukwambia "Niunganishie wote niwatest kwanza halafu ntakwambia".
 
Dahhhhh aisee
kama unatafuta mtu alie
Perfect na kila kitu utazunguka kote na waweza usipate .

angalia mtu alie perfect to you & don't worry about what other people think .

Kumbuka we ndio utakae ishi nae .
 
Chukuwa mchapa kazi maana uzuri wa uso na umbo hivyo vyote ni vya muda akisha zaa wala havitakuwepo ila chapa kazi tabakia pale pale
 
hahha safi kijana wala usiwe na presha hapo chakufanya ni kunata kwa huyo mwenye juhudi alafu mrembo unaendelea kumgegeda tuu....kwanza hao warembo raha sana kuwa chezzea na kujisepea zako

hutaki oa mrembo wewe, ataoa asiye na sura ashindwe kumtambulisha mbele za watu
 
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!
wewe umezini afu unasema umefanya tendo la ndoa,,, ndoa ipi hapo? rekebisha kauli ndoa sio lelemama.......
 
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!

ukikua utajua tu ipi mbichi na ipi iloiva.......

ila kwasasa, endelea tu kubaki kwenye hiyo dillema
 
wanchekeshaaaa...!

uzuri hauliwi lol. akili kumkichwaaa.
 
Back
Top Bottom