Dillema . . .

Dillema . . .

Pure Mathematics

Senior Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
174
Reaction score
52
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!
 
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!

Waombe msamaha wanandoa.....
halafu rekebisha hapo!!!!
 
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!

endelea kubaki kwenye hiyo dilema..ukikua utapata akili!
 
Oa wote, kama dini hairuhusu badili ili uwafaudu wote:A S angry:
 
Ni bahati sana kumpata mtu aliyekamilika,na nature inaonyesha hata ukimpata usumbufu utakuwa sehemu ya maisha yako. Hayo ndo matatizo ya kuonjaonja,uamuzi wa mwisho unao mwenyewe.
 
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!
Uamuzi unao wewe kulingana na maisha ukiyonayo,naweza kukushauri umchukue mchapa kazi lakini ukashindwa kuwa nae kwa kuwa tu si mzuri wa umbo na sura,kwa ushauri wangu wa mambo haya ya uzinzi wa kujitakia na ambao ni hatari kwa ustawi wa jamii nakushauri ifuatavyo,wakutanishe wajuane kuwa wanakula nawe sahani moja na baadaya hapo ndio utajua ni nani hasa waweza kuwa naye.
 
Mkuu nadhani unatakiwa utulie kwanza ujue nini unachotaka. Kama we mwenyewe hujajua, hakuna anayeweza kukuchagulia mkuu.

Pili, uzuri wa nje ni wa muda tu mkuu kwa muhusika ila kwa public unadumu , kwa hiyo uzuri unaouzungumzia leo kesho hautakuwa na thamani unayoidhania. Kwa hiyo kuna vitu vingine vya MSINGI zaidi ya uzuri wa nje japo nao unasehemu yake.

Tatu, mambo ya kitandani ni sanaa na sanaa yoyote mtu aweza kujifunza, kwa hiyo sio kigezo cha msingi katika suala la kuoa. (Hahaaaaa, kwanza nani amekuambia ukajaribu hayo makitu?) LoL!!!

Kaa chini na utafakari, Ndoa ni zaidi ya uzuri wa nje na ujuzi wa mambo ya kitandani.
 
Heshima kwenu wanaMMU. Naomba busara zenu ktk hili. Kuna wasichana wawili marafiki zangu(hawajuani), na wote nimeshawah kufanya nao tendo la ndoa. Wa kwanza ni mlimbwende kweli, yan ukipita nae njian lazima vijana kwa wazee rijali wakugeukie but weakness yake kubwa ni mvivu na haelekezeki. Wa pili ni wakawaida na ni mchapakazi kweli yan hata uki"do" nae huishi hamu utataka tena na tena. Problem inakuja sasa nani nijicomit nae permanently coz wa kwanza ni mzuri wa sura na umbo but ni kilaza ktk majukumu yake, but wa pili hana mvuto wa sura but anajituma kwa kila kitu. Nipo dillema wadau, just yo advice!
Best of luck!
kuwajua uwajue wewe then ushauri tukupe sisi are you serious kweli?
 
Mda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana.,ujinga ni nusu ya mauti
 
baki hivyo hivyo..unapata zote kwa pamoja. ya nini kujisumbua na kujicommit kwa mmoja?
 
Mkuu Kama kweli unajua maana ya ndoa huwezi kutumia vigezo hivyo ulivyohainsha kwenye thread yako 1.uzuri wa sura mvuto kwa ujumla 2.uchapakazi kitandani..kwa mtazamo wangu jaribu kuhainisha sifa nyingine zaidi.
 
tehe tehe teheeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!! Waache wote ubaki peke yako, ukimwi unaua
 
Back
Top Bottom