Dilemma!!!

Theoretically and practically kwa wale wa 1947......

Ina-apply na kwa hawa pasua vichwa wa dotcom??

Babu DC!!


Ni lazima wafike waamue lifestyle ya kuishi
ama waishi kisasa ambapo mvulana anaweza kuwa na 'boyfriend'
na msichana akawa na 'girlfriend'
au mwanaume hayajui majukumu yake kabisa

au waishi kizamani...ambapo mwanaume ni mwanaume...
 
ha haaa, basi silalamiki tena, lol!
 
Wewe sina tatizo...ila unadhani hawa watoto wa dotcom watakubaliana na wewe?

Nadhani mnapoteza muda wenu huko kwenye kitchen parties!!


Babu DC!!
unajua hawa wa dot com hawajui wanachokikosa. wababa huwa wakakua sana kichwa wakiona wao ndo wanaonekana kuwa kichwa cha nyumba. hata wanangu pale pamoja ni kwamba wadogo but ukimwita big boy hata umtume nini atajikakamua na kukifanya hata kama kipo juu ya umri wake.
wanaume wanapenda sana sifa, wanapenda sana kuonekana wapo juu, wanategemewa........ yaani huyo sema chochote utapewa. lakini akishaona unamuweka sawa na wewe, au wewe ndo unajidai boss..... mmmmhhhhhh! safari itakuwa ngumu sana
 

hahahahha
kutokufanya hayo ni uzamani, ukoloni, ubahili....Tutafika tu
 
Ni lazima wafike waamue lifestyle ya kuishi
ama waishi kisasa ambapo mvulana anaweza kuwa na 'boyfriend'
na msichana akawa na 'girlfriend'
au mwanaume hayajui majukumu yake kabisa

au waishi kizamani...ambapo mwanaume ni mwanaume...
umeona eehhh!
mtu anadai usawa halafu hapo hapo anataka baba atimize majukumu kama kichwa cha nyumba, wapi na wapi
 
Mie naamini wewe kma unampenda utamrudisha katka kiwango chake cha kuzaliwa nacho, hvyo ww ndio Kocha.
 
athari za masturbation!!

Kuna haja ya mazoezi na lishe bora hapa...mpe muda, atarudi kwenye hali ya kawaida.
 
Nguvu za kiume kwa vijana ni janga la taifa.
Huyo mwanaume hafai raha ya mwanamme akukoroge ukorogeke.
Piga chini wenzake siku ya kwanza wakipewa gemu hawalali.....

unataka kuniambia siku zote unakorogwa na kukorogeka mpaka monile ndo maana humwachi uliyenaye!!!!!!
 

Hahahaa haaaa
watu niliwaambia pesa sio kula kitu!
wakusome hapo
 
Ngoja kwanza hasira zangu zitulie kwanza nitamrudia huyu

Na hii ni taarifa kwa wale wanaosema eti hakuna game kabla ya ndoa,mmeona sasa?
Hebu fikiri huyo angekuwa ndoani ingekuwaje?

CC: Mtambuzi !!!!!!

Heheeee
hapa siongei
 
Last edited by a moderator:

babu hebu wewe na Fixed Point mrudi kwenye scientific proof?? uina
imagi8nje mtu ameabstain kwa muda mrefu mathalan miaka mi3 hivi huyu mtu pia hana physical exercise kabisa unategemea akipewa game akaenda raund mbili atakuwa na nguvu tena kesho yake??

wanaokamiaga ni ile mijianaume ambayo inafanya karibia kila wiki ama mwezi
 
Last edited by a moderator:

Ni kweli kabisa babu
Nadhani demo itakuwa na umuhimu sana

Kwenye hiyo timu naomba niwaongeze Arushaone na Karucee ili tupate mawazo tofauti tofauti tusije aibika kabisa!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…