Kwanza tatizo linaanzia kwenu nyie wadada
Mnawapenda sana hawa mabazazi,yakiwafika ndio mnakuja hapa kulalama
Mnawapenda hawa mabishoo sijui kwanini,mkipigwa vesi na vijana wa shoka wanaojua majukumu yao mnadai eti hawaendi na wakati,mnataka wawe wanapaka poda na kukaa kwenye dressing table saa nzima kama nyie
Nyambaf zenu
Mkikuta kijana anakula dona kilo moja mnasema huyo sio wa karne ya 21
Tatizo lingine ni kwa hawa wavulana
Wanajidai eti kuishi maisha ya kina Allejandro na kina sijui nani waliowaona kwenye tamthilia zenu zile
Hovyo kabisa,akiona fulani anakunywa ka juice nusu glasi nae anataka kuzileta hizo swaga uswahilini
Wavuvu wa kujishughulisha na kufanya mazoezi,unakuta kavulkana hakawezi hata kupiga push up 5,unategemea huyo atakugegeda kisawasawa kweli?
Kijana ukimuangalia uso wake ni nyororo utadhani wa dada yake na pengine anaweza kuuzidi wa dada yake
CC:
snowhite !!!!!!!!