Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Nimependa vitu kadhaa kutoka kwa mtoa mada.tafadhali naomba nivitaje.
Firstly mtoa mada is faithful to his man,mtoa mada is a family woman/wife material.
Back to topic.
Pengine ni matatizo ya masturbation na porne(pengine)
anachoweza kufanya mpe vyakula vilivyojaa protein kwa wingi eg karanga,korosho,etc pia afanye mazoezi aongeze pumzi na stamina,fanya hivyo then leta feedback!fanya the needful mdada,dont give on your man dont give up on love at least not yet!
Chips + Mayai...tena bila hata mazoezi ya kupiga push ups (hapa siongelei kunyanyua chuma) vinamaliza watoto wetu...
Nahisi kwamba akina mama wanatakiwa kuwatendea haki watoto wao ili wajihakikishie kupata wajukuu na pia wakwe zao wapate huduma kama wanayopata!
Babu DC!!