Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ha haaa, na mimi nimefanya makusudi babu, lol!Hapa ndipo mtu unatamani kumpa mtu zawadi ambayo hataisahau ila unajikuta umefungwa mikono na miguu....
Mwanamume hawezi kucheka cheka na mechi ya kwanza hata kama ina ugumu wake.... Lazima mtu apata adhabu hadi ahisi kama vile kamwagiwa pili pili kwenye macho.... May be huyu ticha gfsonwin anaongelea mambo mengine..lol!!
Hapo pengine hapna maana kwa wastaafu (na kwa maana hiyo sijapaona)...lol!!
Babu DC!!
nimecheka zaidi hapo kwenye pilipili kwenye macho, kuna mahusiano kweli? lol! ila mfano wa pilipili upo sahihi....