Dilemma!!!

Dilemma!!!

Khaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!

Tafadhali Mods hebu nisaidieni kumpiga ban ya muda Heaven on Earth ili asiione hii
Halafu wewe nimekuonya kwa herufi kubwa,ole wako ukazifikisha hizi taarifa

Na mwenzako Ennie nimeshamuonya
Atakae mwambia tu sijui atampa nini baba paroko ili asimshikishe adabu!!!

dah! hivi baba paroko ni wewe kweli? au?
 
Last edited by a moderator:
i know much ya matatizo ya erection ni psychological...how you do it...where and when...
mfano najitolea mwenyewe..
1.I hardly have an erection with the tv on sijui kwanini,but im ok with music playing but not the tv.
2.the scent of a woman can be my turner or piss me off..my nose..inachangia sana in my sexual life.
3.Joto...how i hate doing it while its hot...
4.Njaa na kiu...better the former than the later...yaani nikishikwa kiu ndo naeza nikaacha kabisaaa.
 
dah! hivi baba paroko ni wewe kweli? au?

Kwani nimemtusi mtu?
Au kuna kipengele chochote kile cha kwenye parokia yetu ambacho kimevunjwa?

Mashaka meeengi ya nini sista?
 
Nguvu za kiume kwa vijana ni janga la taifa.
Huyo mwanaume hafai raha ya mwanamme akukoroge ukorogeke.
Piga chini wenzake siku ya kwanza wakipewa gemu hawalali.....

Kama ni janga la taifa na unamshauri atupe chini halafu aende taifa gani?
 
Hapo kuna matatu aidha
  • Jamaa hana uwezo mkubwa wa kungongoka ka wewe kwasababu watu wana sexual desires tofauti
  • Au ni mgonjwa si mzima
  • Au kuna mtu anamridhisha na kumchosha akifika kwako ndo kama hivo!!!

Bi dada hiyo namba tatu inanipa shida kidogo, mwanaume akiwa mzima atakufia kifuani hivihivi ukimuona kuliko asusie game!
Kama mwendo wake si mrefu huko nje alifuata nini asitulie na mmoja sasa?
 
Bi dada hiyo namba tatu inanipa shida kidogo, mwanaume akiwa mzima atakufia kifuani hivihivi ukimuona kuliko asusie game!
Kama mwendo wake si mrefu huko nje alifuata nini asitulie na mmoja sasa?
Hizo ni assumptions zangu tu kwasababu hakuna kisichowezekana!!Ndio maana nikataja vitu tofauti!!Wengine si wa mwendo mrefu na nje wanatafuta coz wanatamani vingine kuliko walivyonavyo...Ni tamaa!!!
 
Hahahahaaa!!!! Unajua hata bible imeeandika "bora mchawi kuliko mnafiki!". Asiyeshiriki hili tendo na awe wa kwanza kurusha jiwe, khaaaa!!! Watoto wa miaka 12 wanafanya sex sembuse mm mdada wa miaka 28, najitambua na nazijua haja zangu! Ww Mjasiria kama huna ushauri pita kushoto, this is a forum where anyone is entitled to their own thoughts!
 
ni kweli, nataka tufunge na kusali sana tumshinde shetwaini.

Ewaaaahhhhhh
Nami nilijua tu unahitaji kitu,ni kweli wacha tufunge ili huyo bazazi asitusogelee!!!!!!!!!!!
 
Mie nakushauri angalie sana lishe, muulize anakula chakula kipi mchana, usikute chips mayai na fanta, hapo ni lazima tatizo liwepo.Just be calm to him
 
Back
Top Bottom