PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,183
- 30,185
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,mimi ni mpenzi wa simu za nokia(smartphones).
baada ya kutumia window phone kwa muda mrefu mwaka huu nimeamua kuachana na hii jela ya mateso(window phone Os) nakumbuka mara ya mwisho kutumia android ilikuwa ni jelly bean version.kitu ambacho kimenivuta kurudi tena ondroid ni ujio wa simu zangu nokia kwenye android
nimeisubiri nokia 6 naona muda unazidi kwenda sasa nimefanya window shopping pale aggrey kwa washikaji zangu nimekutana na mashine hii HUAWEI p9 ni noma aisee kuanzia chipset,dual camera,battery endurance iko poa sana,design,RAM n.k
pia najua nokia 6 kwa upande wa bei itafika hadi laki 6 na kitu na upande wa huawei p9 bei yake ni laki 8 naomba mnisaidie simu ipi itanifaa zaidi?
msaada wenu wadau,karibuni mkekani
baada ya kutumia window phone kwa muda mrefu mwaka huu nimeamua kuachana na hii jela ya mateso(window phone Os) nakumbuka mara ya mwisho kutumia android ilikuwa ni jelly bean version.kitu ambacho kimenivuta kurudi tena ondroid ni ujio wa simu zangu nokia kwenye android
nimeisubiri nokia 6 naona muda unazidi kwenda sasa nimefanya window shopping pale aggrey kwa washikaji zangu nimekutana na mashine hii HUAWEI p9 ni noma aisee kuanzia chipset,dual camera,battery endurance iko poa sana,design,RAM n.k
pia najua nokia 6 kwa upande wa bei itafika hadi laki 6 na kitu na upande wa huawei p9 bei yake ni laki 8 naomba mnisaidie simu ipi itanifaa zaidi?
msaada wenu wadau,karibuni mkekani