mie team handsome ya peter kenneth na tushaanguka kifo cha Mende. mume mwenye akili nnae home Paw wangu, anadhibiti small hausi mie sipati disturbance. napendwa mie shavu hiliii.
Kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu YOTE saizi kaenda kazini akirudi ni HAPA. Mi ndio Da Sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.
Mnalo limewaganda mwaka huu.
Dirgii inakimbiza mume
Maana inaongeza uwezo wa kuhoji
Umenisoma
Heh! Mmeikeshea ka msiba. Limewachoma eeeeh! Na bado.
Filimbi nyiiiingi mishavu imewatuna kwa kujawa mapovu kisa digirii zenu zilowajaza ujinga. Kama kusoma dili mbona walosoma tuko wote kwenye sacos tunabembeleza msingi wa kuuza losheni. Na biashara hamuiwezi kote tunawapiga bao. Nyie pesa zenu mnabahatisha kwenye semina na kongamano za mafisadi wenzenu huko maana hata bwana wa kuwahonga hamwezi pata kwa nyodo zenu. Eti niwakimbie kwa lipi?
Kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu YOTE saizi kaenda kazini akirudi ni HAPA. Mi ndio Da Sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.
Mnalo limewaganda mwaka huu.
Easy easy
kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu yote saizi kaenda kazini akirudi ni hapa. Mi ndio da sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.
Mnalo limewaganda mwaka huu.
Lituchome kwa lipi?? kwani k si yako umefanya doormart bado unajiona wa thamani.Heh! Mmeikeshea ka msiba. Limewachoma eeeeh! Na bado.
hehehhehheh! jamani FP snowhite Kaunga King'asti njooni mwone hapa. Eti pesa za kubahatisha utaishia kuuza mwili wewe ili upate mtaji. unapanga nyumba ya mganga unaogopa kunuka uvumba?Filimbi nyiiiingi mishavu imewatuna kwa kujawa mapovu kisa digirii zenu zilowajaza ujinga. Kama kusoma dili mbona walosoma tuko wote kwenye sacos tunabembeleza msingi wa kuuza losheni. Na biashara hamuiwezi kote tunawapiga bao. Nyie pesa zenu mnabahatisha kwenye semina na kongamano za mafisadi wenzenu huko maana hata bwana wa kuwahonga hamwezi pata kwa nyodo zenu. Eti niwakimbie kwa lipi?
Kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu YOTE saizi kaenda kazini akirudi ni HAPA. Mi ndio Da Sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.
Mnalo limewaganda mwaka huu.
Kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu YOTE saizi kaenda kazini akirudi ni HAPA. Mi ndio Da Sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.
Mnalo limewaganda mwaka huu.
lituchome kwa hiyo mikasi uliyonayo auHeh! Mmeikeshea ka msiba. Limewachoma eeeeh! Na bado.
Umenisoma
Heh! Mmeikeshea ka msiba. Limewachoma eeeeh! Na bado.
Filimbi nyiiiingi mishavu imewatuna kwa kujawa mapovu kisa digirii zenu zilowajaza ujinga. Kama kusoma dili mbona walosoma tuko wote kwenye sacos tunabembeleza msingi wa kuuza losheni. Na biashara hamuiwezi kote tunawapiga bao. Nyie pesa zenu mnabahatisha kwenye semina na kongamano za mafisadi wenzenu huko maana hata bwana wa kuwahonga hamwezi pata kwa nyodo zenu. Eti niwakimbie kwa lipi?
Lituchome kwa lipi?? kwani k si yako umefanya doormart bado unajiona wa thamani.
wewe hadhi yako maji ya kudekia ukimaliza unamwaga.
hehehhehheh! jamani FP snowhite Kaunga King'asti njooni mwone hapa. Eti pesa za kubahatisha utaishia kuuza mwili wewe ili upate mtaji. unapanga nyumba ya mganga unaogopa kunuka uvumba?
eti limetuganda, kwa lipi hasa?? eti umemficha nakwambia Ana alikuwa na tambo kama hizi ila aliondoka kama mbwa na sasa analalia mashudu. nakuonea huruma unayetotoleshwa mwenzio akipaa na wanae wewe unabaki kulisha uji. subiri uone cha moto ngumbaru wewe. mtu mwenyewe unayeringa huna hata ulichojaaliwa sura huna, elimu huna, kimo huna umbo la kuazima basi tabu tupu.
cc Kongosho, Asprin, cacico , mwaJ, Madame B
Filimbi nyiiiingi mishavu imewatuna kwa kujawa mapovu kisa digirii zenu zilowajaza ujinga. Kama kusoma dili mbona walosoma tuko wote kwenye sacos tunabembeleza msingi wa kuuza losheni. Na biashara hamuiwezi kote tunawapiga bao. Nyie pesa zenu mnabahatisha kwenye semina na kongamano za mafisadi wenzenu huko maana hata bwana wa kuwahonga hamwezi pata kwa nyodo zenu. Eti niwakimbie kwa lipi?
aahhahahhahahh ndo yale yale ya mi darasa la nne mume wangu kaishia la tatu basi tumemaliza darasa ala saba!Kwa taarifa yenu,
1. Bwana niko naye. Nilipotaka kumpiga chini juzi kanililia hapa kama mtoto kanikumbusha mateso yote anayopata mtaa wa kule. Wanawake tumeumbiwa huruma namshangaa mwenzangu wa kule. Nimemhurumia ba watoto wangu kwa nini ateseke wakati nipo. Amekubali masharti yangu YOTE saizi kaenda kazini akirudi ni HAPA. Mi ndio Da Sophy mwingine photocopy.
2. Bwana mwenyewe kasoma digrii anazo na ung'eng'e anatema kiukweli si kama nyie na digirii zenu za kivukoni mkifungua hiyo mibakuli yenu ni shombo tu hadi kinyaa. Sa kumbe yule ajuza mtaa ule kaweka ligi ya nani zaidi. Sa sijui hizo wine anazofakamia ni za kupoza mawazo kwa kukosa unyumba au ndo kujipongeza kumshinda mume, anajijua mwenyewe. Kwani inahuuuu!
3. Kama digirii za yule ajuza mali bwana asingeziacha mbili mtaa wa kule aje huku kupiga magoti kwa ngumbaru.
Mnalo limewaganda mwaka huu.