Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,830
- 2,882
sorry I was driving, nitajaribu kukuelezea kwa kadri ya upeo wa fikra zangu.Nimekuelewa sana mkuu hili nafikiri ndio jibu sahihi la uzi huu ingawa cha kujiuliza mbona biblia inasema WALIUMBWA na MUNGU wakiwa na mfumo huo huo?? Mfano Leviathan na Behemoth maneno ya Mungu mwenyewe zaburi na Ayoub wanamnukuu akisema ALIWAUMBA je ina maana baada ya kuwaumba ndipo wakavamiwa na hao malaika huko baadae?
Pia ikiwa waliingiliwa na malaika wabaya ndio wakabadilika hivyo tunaona kibiblia hao wanefili waliangamizwa kwenye gharika ila cha kujiuliza hao wanyama wenye damu ya kimalaika waliwezaje kurudi kipindi cha kina nabii isaya au ina maana malaika wengine walikuja tena kuwavamia wanyama
Pia swali la mwisho unisadie je unafikiri nni kimewatoesha kiasi sahivi hawapo duniani tena??
Ubarikiwe
Cc mitale na midimu Mnabuduhe mpite huku wakuu
Kuna kitu kinaitwa bloodlines ,hiki kitu ni chepesi kutamka lakini kukiongelea ni kigumu. Kuna mada alizitoa mshana jr zinazohusu viwakilishi katika ulimwengu wa roho. Halafu Kuna mada ilitupiwa humu nikaipitia inahusisha mambo ya uumbaji. sasa kwa fikra zangu : mungu aliumba dunia na vyote kwa ( free will) ina maana aliumba hakutaka kiumbe chochote kisimfahamu, kwa hiyo aliwapa uhuru. note : from the beginning....
Tunapoongelea hawa wanyama nimeandika kwamba wale malaika waasi walikua wanawaingilia mpaka wanyama pamoja na binadamu. na issue nyingine ni kwamba sayansi inathibitisha kwamba maandiko ya dini yako sahihi.
Cpl
Sent using Jamii Forums mobile app