Is Kiyeyeu dead?Did kiyeyeu die a natural death
Is Kiyeyeu dead?Did kiyeyeu die a natural death
I have always failed to be convinced that mwalimu julius kambarage nyerere died: A natural death!
Karibu sana Imran Shimbo hapa jukwaani. Ukishatulia na kufahamiana na wenyeji tutajadilia mada yako.
what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha
Asalaam Aleykum wana JF.....I am very new in this forum but why avoiding to respond to this questions? Mwalimu didn't die a natural death, he was a stone in someone's shoes.....ona mambo tunayoyafahamu na mengine mengi tusiyoyafahamu ya kuchakachua nchi yalivyojitokeza na kushughulikiwa kisanii eti leo mnailipa Dowans kwa mkataba ambao haukuwapo kisheria duuuu!!!!!! pia angalia mission ya south south commission ambayo ilikuwa inajipanga kutoa ukombozi wa kweli wa kiuchumi kwa vinchi vyetu (baada ya mwalimu kufariki haisikiki tena) ndiyo utafahamu kwa nini nadhani kuna mkono wa mtu:Cry:
did sokoine die a natural death ??