zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,906
- 36,831
- Thread starter
- #41
Kwahiyo yesu ni malaika?
Roho inazaliwa?
ww unatulazimisha kuelewa alichokukalilisha padre
Roho haizaliwi ila inazaliwa kwa mwanadamu kama ikiwa ndani ya mfumo wa mwili kwa hiyo Yesu ni Roho kweli ila kwakuwa alipokuja duniani hakuja kma MZIMU ila MWANADAMU hivyo aliweza kuzaliwa sababu alikuwa kwenye form ya MWILIJibu swali
Hata wewe una Roho ndani ya mwili na siku ukifa Roho inatoka na mwili unabaki hivyo kabla hujazaliwa unakuwa roho ila ili uingie duniani unavaa mwili same case kwa Yesu
Pia Yesu si malaika ila wote ni ROHO/DIVINE BEINGS so wana tabia zinazofanana
Moja kauliza kama malaika wana sex?? Wakiwa kwenye form ya malaika hawawezi ila wakivaa mwili kma wwe ulivyovaa mwili basi wanaweza kusex na mwanamke au mwanaume
Hata kwenye biblia tunaona malaika wakimtembelea Abraham walikula,waliomba maji,walipumzika,walinawa n.k hivyo wakishavaa miili ya kibinadam wana uwezo wa kufanya kila kitu ambacho unaweza kufanya
Hope nmeeleweka

or 