Diaspora waanza kupanda ndege ili kuwahi Kongamano la miaka 60 ya Uhuru lililoandaliwa na CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,230
Mmojawapo ni huyu anayeitwa Rehema Mugogo , ambaye tayari ana tiketi mkononi ili kuwahi Kongano hilo lililo gumzo kote duniani , litakalofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni nje ya Jiji la Dar es Salaam .

Anaitwa_Rehema_Mugogo_Anasafiri_Toka_Marekni_kuja_Tanzania_kushiriki_Kongamano_la_Miaka_60_ya_...jpg
 
Back
Top Bottom