Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,113
Kongamano la miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika linafanyika muda huu kwenye Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni Dar es Salaam , Taarifa zinaonyesha kwamba watu wote maarufu na wanaoheshimika nchini Tanzania , wale ambao ni wapinga dhuluma watatoa mada.
Pichani ni vijana kadhaa wa Dar wakiingia kushiriki kongamano hilo.
Pichani ni vijana kadhaa wa Dar wakiingia kushiriki kongamano hilo.