Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Yani huko ukitaka kuishi vizuri lazima uwe na kazi kuanzia mbili...yani mtu analala kama dawa..na kazi huko ni kazi haswa sio huku mtu upo kazini unachati

umeshawahi kufanya kazi huko ukaona wanavyolala kama dawa?

mwenye kazi chini ya mbili anakufa?

kazi huko kazi haswa mfano ipi?
 
umeshawahi kufanya kazi huko ukaona wanavyolala kama dawa?

mwenye kazi chini ya mbili anakufa?

kazi huko kazi haswa mfano ipi?
Kwamba nilochosema ni uongo..so kila anayeongelea ulaya amewahi kuishi. Yes nimeishi Iowa for 2 years..jingine?
 
Kwamba nilochosema ni uongo..so kila anayeongelea ulaya amewahi kuishi. Yes nimeishi Iowa for 2 years..jingine?

sio vurugu umeongelea mambo kwa ujumla as if kila anayefanya kazi huko lazima afanye hivyo

wapo wenye kazi moja au mbili tu na wanapay bills na kusave wanalala wanafanya mambo mengine na kupata likizo. neno "lazima" kwenye post yako linamislead

lingine hujajibu maswal yangu yote
 
Kwani bongo napo pesa gani inatosha?? Kwa mfanyakazi bila upigaji tuanzie hapo kwanza.. maana wabongo pesa zao ma zero yako mengi basi utafikiri pesa yatosha kumbe hovyo tu. Vilaki 5 kumaliza kwa siku ni kawaida kabisa tena umeishi kawaida .. yes nasema 500,000 kwa siku bongo haikai na hujanunua kitu ya maana.
 
sio vurugu umeongelea mambo kwa ujumla as if kila anayefanya kazi huko lazima afanye hivyo

wapo wenye kazi moja au mbili tu na wanapay bills na kusave wanalala wanafanya mambo mengine na kupata likizo. neno "lazima" kwenye post yako linamislead

lingine hujajibu maswal yangu yote
Mkuu mimi nipo kwenye nchi moja ya Europe...kama usemavyo si kila afanyaye kazi atabika kihivyo, Kazi haijapokewa kwa maana ya adhabu huku!

Hapa nilipo kazi hufanywa kwa masaa. Muda wa kuingia kazini ni saa 9:00am wapiga job hadi 11:30am hapo waenda lunch. Kurudi kuendelea kazi ni 12:30pm hadi 15:30pm. Humo kati kati (karibu kila baaada ya lisaa 1) kuna kupata chai au kahawa, chokolate na maziwa ktk mashine maalumu ambayo unabofya inatoa vinywaji hivyo. Facilities hizo zipo tu oficini kwenye kitchen room. Bado pia kuna kuchukua likizo, na likizo kwa mzungu maana yake ni likizo. Sio sisi waafrika eti mtu au kiongozi anasema kachukua likizo halafu bado anajishughulisha na mambo ya kiofisi kinyemela! Mfano wa likizo kwa maana ya wazungu ni kama pale Kikwete alipotoka kwenye matibabu yake nje halafu alipotua airport waandishi wa habari wakamuhoji suala la Escrow, naye akajibu sina taarifa nalo (kwa maana hakujishughulisha nalo, alikuwa nje ya ofisi, likizo)

Wazungu wakaazi(wenyeji) huzingatia mno mida ya kazi na mida ya kula. Huwezi mkuta saa 11:30am-12:30pm eti afanya kazi. Wao kula hufuata muda na si kusikia njaa.
Waafrika, waasia (wachina, wahindi, wapakistani n.k) na wazungu toka mataifa mengine ndio wanajitaabisha hapa. Hasa huyu muafrika...yeye huwa hajali muda wa kazi, anajiovadozi kwa kazi, na wengi wao hata hawazingatii mida ya kula...
 
Ni hivi, nje maisha ni mazuri kuliko Tanzania. Acha choo cha paspoti size hata choo cha nje ya nyumba sijawahi kukiona Ulaya au Marekani. Labda cha jumuiya.

Ila kama ulikulia Africa kusahau nyumbani haiwezekani hata hao wanaosema hawarudi tena Afrika ni waongo hawana amani ya moyoni.
Achilia mbali swala la usafiri wa kila siku ambalo TZ ni pasua kichwa
 
Wakuu mwaka huu wanataka kutoa passport ya Africa je ikitoka na dhani itasaidia kuwapatia watu Dual citizenship...
 
Mkuu Benny ulipotea Sana.

Mimi kurudi homu nikutembelea tu kwasasa. Ila mkakati wangu Ni kubeba boksi Kama Sina akili nzuri Hadi 2020 Happ nitakuwa nimesevu balaa Na nikichukua namkopo juu itakuwa balaa.

Kingine natamani sana kwenda kuishi Australia.

Nilikuwa bongo majuzi Ni kwetu ndio I'll watu wanaishi kimungumungu Na kubahatisha. Nchi haina dira, sheria ziko kwenye makaratasi, uonev u. Watu hawatunzi muda.
Brother nipe maujanja na Mimi nije
 
Back
Top Bottom