Diaspora: Mkakati wa diaspora katika dual citizenship

Diaspora: Mkakati wa diaspora katika dual citizenship

Gud move napendekeza Membe awe mwanakamati kwani hayupo nyuma katika suala hili.
 
Comrade AL SHARPTON let it be and we are waiting for it but we should prepare a way towards that waited time. Thanx

It's just a matter of time. Dual citizenship will ultimately become legalized
 
Last edited by a moderator:
Comrade AL SHARPTON let it be and we are waiting for it but we should prepare a way towards that waited time. Thanx

Believe it or not, it's just a matter of time before this dream becomes a reality. Some will rejoice while others will cringe
 
Last edited by a moderator:
ila tusisahau kuwa baadhi ya wana diaspora wapo nyuma ya agenda ya kushinikiza kwa haki za mashoga nchini.
 
Uraia wa nchi mbili ni ajenda ya kutafakarisha sana.hakika mjengaji wa hiyo hoja awe bold enough kuwashawishi wajumbe aisee,sii jambo jepesi.
 
Hii lugha iliyotumika wakati unaomba uraia wa Tanzania imenikera

Sometines kusoma sana ni upuuzi tu, bora boxi

Mimi kwa kiingereza changu cha darasa la saba sijaelewa kitu. Tunaomba ututafsirie sisi tusioenda shule tafadhali
 
Najua una hasira na ............!!!!

hahaha.jamaa anahasira mbaya.
imemlazimu kuingia jf mara kwa mara kupangua post zinazo muhusisha na hiyo mambo.chezea kuhisiwa vibaya wewe,hasa kwa mtoto wa kiume!.teh teh
 
Nyinyi mnaotaka Uraia Pacha Kwani mlikuwa hamjui kuwa mkichukuwa Uraia Mwengine Kikatiba kuwa Si WaTanzania tena. Sasa kipupume cha nini tena wakati mmeshaukana Uraia wa Tanzania kwahivyo Si WaTanzania tena na mnatakiwa mfunge midomo yenu
 
DIASPORA: MKAKATI WA DIASPORA KATIKA DUAL CITIZENSHIP

Pursuant to our call for the right of dual citizenship for all Tanzanians, the Tanzanian Communities in the United States of America and the Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA) have agreed to file a petition for this cause to the Constitutional Review Parliament that is now taking place in Dodoma, Tanzania through our Representative Honorable Kadari Singo, who is also a member of the our Diaspora Community and who resides in California. With the highest honor, we invite you to support this petition.

Honorable Kadari Singo is now attending the Constitutional Review Parliament in Dodoma. After consultation with other members of the Parliament and in seeking their support, and after thorough deliberations on how to bring the issue of dual citizenship to the attention of all members of the above-mentioned Parliament, it was decided that a workshop, training or conference should be arranged to lobby to the members of the Parliament and inform them of the necessity and urgency of their supportive votes when the motion of dual citizenship will be tabled.

For that conference, we will need experts on this issue from other parts of Tanzania and abroad (including International Office for Migration - IOM) to attend at a very short notice. We will also need an excellent venue and some refreshments. Moreover, the experts on this issue will need to be paid. Hence, we are looking for at least $25,000 dollars to cover expenses for this event. The plan is to run a workshop/seminar for 3 days targeting different groups of MPs for each day.

We are certain that if the members of the parliament are made to understand our motion, it will be easier for them to vote for dual citizenship. Dual citizenship is an important right that has been denied to Tanzanians since 1964. Thus, we hope that the workshop or conference will provide the members of the Parliament with an opportunity to understand the overall benefits of dual citizenship and why their votes for this cause are imperative. Moreover, we invite you to think about your interests, family and opportunities offered by dual citizenship.

For these reasons, we ask you to support this cause by giving any donations to the following account:

Using Debit/credit cards click here:https://www.eventbrite.com/e/diaspora-constitution-petition-support-tickets-10949174275

Or, deposit to the DMV community Account below:
Account Name: ATC- DMV
Bank Name: PNC- BANK
Routing Transit Number: 054000030
Account Number: 5313293767


The funds obtained will be used to arrange the above-mentioned workshop or conference in Dodoma, Tanzania. We need at least $ 25,000 so you may contribute any amount you can afford. If every Tanzanian in the United States contributes at least $10, we will reach or surpass the amount of $ 25,000.

We are grateful that you are supporting dual citizenship for Tanzanians outside their country and we hope through your support, we will be able to achieve this goal.

Sikiliza Audio ya mwakilishi wetu, Kadari Singo, akiongea toka Dodoma;
https://soundcloud.com/vijimambo-blog/recording-9

More details...

Iddi Sandaly
President
Association of the Tanzanian Community in Washington, DC
Cell : 1-301-613-5165

Ndaga Mwakabuta
President,
Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA),
Cell: 1-952 217 0265

Hajji Khamis
Chairman,
Association of Tanzanian Community in New York
Cell : 1-347-623-8965

Source:CHADEMA DIASPORA : DIASPORA: MKAKATI WA DIASPORA KATIKA DUAL CITIZENSHIP
Tupeleke EALA ma diaspora wetu waliorejea nyumbani!, watatusaidia sana kwa kutuletea the exposure, itatusaidia sana kutoka hapo tulipo, twende kule tunapaswa kuwapo!.
P
 
Dunia ya Sasa ni kijiji ,ukiona nchi imeendelea Africa ni kuwa diaspora wamechangia 90% ,anayekataa uraia Pacha ni mwendawazimu wa kikoloni,Kwa Tanzania wanaokataa ni ccm Kwa sababu hawataki mawazo mapya au ushindani mwingine hasa ,kwenye uchumi,siasa nk.Mwenye uwezo wa kujadili uraia wa mtu mwingine ni MUNGU .Fikiria Kwa mfano CCM walivyo na uhuni eti muungano ukivunjika waarabu watakuja ,,,,,,hizi ni fikra mgando au ubinafsi kwenye dunia ya kijiji,mfano mwingine kwamba diaspora akiwa Tanzania na nchi nyingine ataleta vita yaani hizi Imani za kinjekitile ngwale!Tanzania tunawatu wengi nje ambao Kwa sasa wangekuja kuwekeza nyumbani tena angewekeza Kwa u chungu ili nchi yake ipate maendeleo lakini Leo hii bongo anawekeza mchina ambaye anauza Karanga kariakoo na mbagala huku watanzania wakiachwa nyuma na fedha zikienda China au ulaya lakini Kwa mwekezaji mtanzania fedha zingebakia hapa Tanzania .Kwa nchi za EAC baada ya miaka 10 wenzetu Kenya watakuwa ni Moto wa Kuotea mbali.
 
Kenya, Rwanda, Uganda, wana uraia pacha, kila leo marekani anaiba raia wa nchi nyingine kwa programme kama green card loterry ili ajipatie nguvu kazi na walipa kodi, sisi tumekalia blah blah zisizo na msingi hadi Burundi wana uraia pacha , ruhusuni watanzania waliopata uraia mwingine kua raia kamili pia wa nchi yetu ili walete pesa wanazovuna huko waje wawekeze kwao kama wakenya wanavofanya, waje walete maarifa mapya yenye ufahamu tofauti na tulio nao, acheni uoga wa sera za kijamaa ambazo zimefeli muda mrefu sana
 
Dunia ya Sasa ni kijiji ,ukiona nchi imeendelea Africa ni kuwa diaspora wamechangia 90% ,anayekataa uraia Pacha ni mwendawazimu wa kikoloni,Kwa Tanzania wanaokataa ni ccm Kwa sababu hawataki mawazo mapya au ushindani mwingine hasa ,kwenye uchumi,siasa nk.Mwenye uwezo wa kujadili uraia wa mtu mwingine ni MUNGU .Fikiria Kwa mfano CCM walivyo na uhuni eti muungano ukivunjika waarabu watakuja ,,,,,,hizi ni fikra mgando au ubinafsi kwenye dunia ya kijiji,mfano mwingine kwamba diaspora akiwa Tanzania na nchi nyingine ataleta vita yaani hizi Imani za kinjekitile ngwale!Tanzania tunawatu wengi nje ambao Kwa sasa wangekuja kuwekeza nyumbani tena angewekeza Kwa u chungu ili nchi yake ipate maendeleo lakini Leo hii bongo anawekeza mchina ambaye anauza Karanga kariakoo na mbagala huku watanzania wakiachwa nyuma na fedha zikienda China au ulaya lakini Kwa mwekezaji mtanzania fedha zingebakia hapa Tanzania .Kwa nchi za EAC baada ya miaka 10 wenzetu Kenya watakuwa ni Moto wa Kuotea mbali.
Waambie hao wajinga, Kenya wanawekeza Sana!
 
Kenya, Rwanda, Uganda, wana uraia pacha, kila leo marekani anaiba raia wa nchi nyingine kwa programme kama green card loterry ili ajipatie nguvu kazi na walipa kodi, sisi tumekalia blah blah zisizo na msingi hadi Burundi wana uraia pacha , ruhusuni watanzania waliopata uraia mwingine kua raia kamili pia wa nchi yetu ili walete pesa wanazovuna huko waje wawekeze kwao kama wakenya wanavofanya, waje walete maarifa mapya yenye ufahamu tofauti na tulio nao, acheni uoga wa sera za kijamaa ambazo zimefeli muda mrefu sana
Mawazo ya maccm ni ya hovyo Sana!
 
Nyinyi mnaotaka Uraia Pacha Kwani mlikuwa hamjui kuwa mkichukuwa Uraia Mwengine Kikatiba kuwa Si WaTanzania tena. Sasa kipupume cha nini tena wakati mmeshaukana Uraia wa Tanzania kwahivyo Si WaTanzania tena na mnatakiwa mfunge midomo yenu
Unazungumziaje watoto wenye mmoja wa wazazi sio mtanzania mfano baba mkenya mama mtanzania, au kakulia Uingereza ila wazazi wake ni watanzania, hao bado wakose haki ya kufika na kuishi Tanzania kama raia kweli??!!!
 
Kuna mtanzaia wakati wa utawala wa magufuli alikuwa anaonekana amevaa magwanda ya jeshi akiwa katika vifaa vya kijeshi USA. Aipinga sana udikiteita wa Magufuli. Ni mchaga fulani, anayejua jina lake anisaidie
 
Back
Top Bottom