Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
Sasa mbona anajisifia hivyo kumbe hela ni za bwana yake, akipigwa chini?
Nyani ngabu japo kwa hasira ila umefunguka vizuri kama bado tunajadili rangi dhahiri kuna watu wanaishi karne ya pili.Sasa sijui huwa anapitapita kuomba chumvi kwa majirani mpaka akagundua eneo lote hilo hakuna nywele ngumu.Mentor of slave ni mbaya kuliko ufukara wa pesa.
Mtu yupo majuu kutwa kuchwa analia na mafanikio ya wenzie East Africa.
Anasema hamna mtz anayesomesha mtt chini ya miaka mitano ila yeye USA nzima.
Mie nadhan zile sembe alizokua anauza mzee wake na huyu alikia anarambishwa sio bure
Duh!picha ninayoiona ina maana hata yeye yupo hapo kimakosa maana ni eneo la watu weupe?namkumbuka Nesta marley na kibao cha War ahsante NYANI NGABU.
8
Kaah!
Leo umenifurahisha ukinitukana poooa tu sijali.
Sio kwa kichambo hiki!
By the way tako la mange ni kama kiskonzi, ashukuru sana yale matako yake alopandikizwa.
Mi hawa wanawake siwaelewagi mambo yao kabisa. Au huko majuu wana stress nini nyumba ni jambo LA kawaida kwa binadamu yoyote.
hahahaaaasa
haloooowwwww
nicheke mie mwl wa primaryyy
niliyefeliii,
niliyeanza chekechea miaka tisa ,niliyezaliwa mtanzania asilia
baba,mama,babu na bibi pyua swahiliiii
ingliiish nkaikuta zanaki kwa mama mramba form oneeee
asante serikali kutujali sie walalahoiiiii
haki ya mama tusingesoma ht shule ya msingiii siee
leo ht jf nisingeijua mieee sijui ningekua sitimbi nalimaaa
haya jamani mnaoishi ulaya hongereni sanaaaa
mie ht BURUNDI sikujui hvyook
sembuse wenzetu mnaishi ULAYAAA,mmeolewa na wazungu,matajiri,mnalipa ma ada ht nifanye kazi miaka laki mshahara km huo mie siupati wa ada ya mtoto mmoja....!!
eehhh MUNGU weee niwekeee mieeeeee ....mja wakoooo
nione ya walimwengu jamani...
nishuhudie watu wanavyoishi maisha ya kwenye TAMTHILA
maskini mieer
Wanawake wanaoishi nje hawatofautiani na wanawake tuliopo tz yaan waswahili balaaaa, lakin hatusikii wanaume wa Huko wakigombana gombana tu ,yaan sijui hawakutegemea kuishi Ulaya ,yaan tabu tupu,
Hongera zake kwa kuudharau weusi ,sie wengine weusi ndio roho zetu ndio zinatukuna balaaa,,,,siku nyingine linaandikaga upuuzi tuu
Huyo linda nae amuache mwenzie kila siku kumsema insta linda nae kazidi uchokozii zamani nilimtetea kanichoshaaa nae
Mi msukuma anapiga box wèeee wala yupo poa tu na marafiki zakeeee ,
Nandio maana waTz hatuendelei wenzetu wanaijeria wanabebana kwa kupeana fursa sisi unajisifia sijui nyumba sijui bwanaangu mzungu nonsense
Haaaaa, yule mwanamke ni tatizo, kachonga pua, karekebisha matiti eti yasimame milele, matako nayo kapandikiza, bila shaka hata hiyo sehemu ya kike kesha ichana chana ilingane na ya bhoke haaa mwanamke hajiamini ndio maana chuki haimuishi.