Sijawahi kuona Mond anatoa bokoDamn Nyimbo ya Diamondplatnumz ft Omarion African beauty Iseee ni nyimbo kali sana Unaweza kusahau shida zako zote za Duniani Mwana aliua sana utazani sio yeye aliyeimba #KAMATA
Huyu S2kizzy Diamond aachane nae tu nina wasiwasi hizo nyimbo nyingine alozorekodi kwake zikawa za kipuuzi kama huu wa sasa. S2kizzy either sio mkweli anapoona wimbo mbovu au uwezo wake wa kawaida.Ngoma kali kasa..imepikwa na Kelpvibe..
Sio yale madufu ya S2kizzy ya Kamata..ushuzi mtupu.
Hii ni mojawapo ya nyimbo bora sana za Dai...ila haikupigiwa promo kabisaMond ft teni --- Sound!!
mle Mondi alifanya kufuru
Hatutoi KikiDamn Nyimbo ya Diamondplatnumz ft Omarion African beauty Iseee ni nyimbo kali sana Unaweza kusahau shida zako zote za Duniani Mwana aliua sana utazani sio yeye aliyeimba #KAMATA
Chris Brown wa With you naKiukweli jamaa kipindi anatoka na pale kati yupo za zari alikua anatoa chupa kali.
Toka zile kamwambie, kesho, no 1, ntarejea, nana nk nk , ila saivi daah sijui content zimeisha kelele zimekua nyingi sana au ndio nyimbo zinazotakiwa uko duniani!!?
Hii ya kamata ni boko bwanaSijawahi kuona Mond anatoa boko
Yeah "inama" is the best kuliko hata "yope" for memond muacheni kama alivyo huyu kiumbe! huu uzi ukifikisha comments 100, nina uhakika nyimbo zote za dai zitakuwa zishatajwa na kila mtu akisifia wa kwake... kwangu mimi "inama" ndo the best na ndo ringtone ya kuitia mpaka leo
unaambiwa ndio producer bora TZ😀😀Ngoma kali kasa..imepikwa na Kelpvibe..
Sio yale madufu ya S2kizzy ya Kamata..ushuzi mtupu.