Diamondplatnumz Hii Nyimbo aliua sana

Najua anaongelewa Diamond..lakini nimeshawishika kusema kidogo kuhusu huu wimbo mpya wa Harmonize unaitwa Sandakalawe..kijana ametukana waziwazi anasema nina hamu ya kuto....hadi uwe wangu..na hata pale mwishoni wanacheza kama wanapiga naniliu hivi...hawa wakifungiwa na Basata wanaanza lalamika!
 
Ngoma kali kasa..imepikwa na Kelpvibe..

Sio yale madufu ya S2kizzy ya Kamata..ushuzi mtupu.
Huyu S2kizzy Diamond aachane nae tu nina wasiwasi hizo nyimbo nyingine alozorekodi kwake zikawa za kipuuzi kama huu wa sasa. S2kizzy either sio mkweli anapoona wimbo mbovu au uwezo wake wa kawaida.
 
mond muacheni kama alivyo huyu kiumbe! huu uzi ukifikisha comments 100, nina uhakika nyimbo zote za dai zitakuwa zishatajwa na kila mtu akisifia wa kwake... kwangu mimi "inama" ndo the best na ndo ringtone ya kuitia mpaka leo
 
Diamond kuna sehemu utamchukia lakini pia kuna sehemu lazima atakufurahisha tu. Kwangu jamaa napenda nyimbo zake nyingi ila Ukimwona, Inama, African beuty na alioimba na Patoranking
 
Kiukweli jamaa kipindi anatoka na pale kati yupo za zari alikua anatoa chupa kali.
Toka zile kamwambie, kesho, no 1, ntarejea, nana nk nk , ila saivi daah sijui content zimeisha kelele zimekua nyingi sana au ndio nyimbo zinazotakiwa uko duniani!!?
Chris Brown wa With you na
Chris Brown wa Go Crazy unaona wapo sawa ?
 
mond muacheni kama alivyo huyu kiumbe! huu uzi ukifikisha comments 100, nina uhakika nyimbo zote za dai zitakuwa zishatajwa na kila mtu akisifia wa kwake... kwangu mimi "inama" ndo the best na ndo ringtone ya kuitia mpaka leo
Yeah "inama" is the best kuliko hata "yope" for me

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom