Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Damn Nyimbo ya Diamondplatnumz ft Omarion African beauty [emoji91] Iseee ni nyimbo kali sana Unaweza kusahau shida zako zote za Duniani Mwana aliua sana utazani sio yeye aliyeimba #KAMATA [emoji3]
Bwana hakunaga kama Ukimwona mule aliua balaa na ilikuwa blessing in disguise baada ya kuiacha studio Manecky akaiachia bila kumaliza chorus, ile beat ku hang tu kwenye chorus na neno ukimuona ilifanya ile nyimbo iwe kali sana ndo maana siku hizi hata akina mario kwenye chorrus anataja tu haya halafu biti linaendelea. Manecky ni mtu mbaya sana yule jamaaDamn Nyimbo ya Diamondplatnumz ft Omarion African beauty [emoji91] Iseee ni nyimbo kali sana Unaweza kusahau shida zako zote za Duniani Mwana aliua sana utazani sio yeye aliyeimba #KAMATA [emoji3]
Damn Nyimbo ya Diamondplatnumz ft Omarion African beauty [emoji91] Iseee ni nyimbo kali sana Unaweza kusahau shida zako zote za Duniani Mwana aliua sana utazani sio yeye aliyeimba #KAMATA [emoji3]
Diamond wa kwa Manecky ndio alikuwa mwanamuziki na mtunzi mzuri sio huyu wa sasaBwana hakunaga kama Ukimwona mule aliua balaa na ilikuwa blessing in disguise baada ya kuiacha studio Manecky akaiachia bila kumaliza chorus, ile beat ku hang tu kwenye chorus na neno ukimuona ilifanya ile nyimbo iwe kali sana ndo maana siku hizi hata akina mario kwenye chorrus anataja tu haya halafu biti linaendelea. Manecky ni mtu mbaya sana yule jamaa
Na madufu ya Eyo LaizaaNgoma kali kasa..imepikwa na Kelpvibe..
Sio yale madufu ya S2kizzy ya Kamata..ushuzi mtupu.
Kweli kabisa mkuu yani alikuwa ana uandishi na melody za maanaDiamond wa kwa Manecky ndio alikuwa mwanamuziki na mtunzi mzuri sio huyu wa sasa
Masahihisho..Penzi ntalipamba ngonjera
Uber kama tanga segerea.kwa viuno vya baikoko kutoka mwanzabay ,picha twazitwanga kisela post insta wanga kuwakela
Baada ya chali kiboko
[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
umechelewa kujua bossDamn Nyimbo ya Diamondplatnumz ft Omarion African beauty [emoji91] Iseee ni nyimbo kali sana Unaweza kusahau shida zako zote za Duniani Mwana aliua sana utazani sio yeye aliyeimba #KAMATA [emoji3]