Diamond Platnumz - ONGEZA mbayaa sana!

kevoDK

Senior Member
Dec 20, 2018
152
78
Jamaaa namkubali Sana'a Sana'a anainspire vijana wengi but mbona kama anafifia hivi, ngoma hiz tatu zilizotoka hivi karibuni mbili akishirikishwa

Nyie mnaonajeee
 
Jamaaa namkubali Sana'a Sana'a anainspire vijana wengi but mbona kama anafifia hv ngoma hiz tatu zilizotoka hv karbun mbili akishirikishwaa


Nyie mnaonajeee
Covid -19 mzee baba,ili gonjwa limevuruga ulimwengu.lazima afifie kidogo kwasababu Dimond ni mwanamuziki( taasisi )wa kimataifa hasa upande wa burudani ya muziki.
 
Jamaaa namkubali Sana'a Sana'a anainspire vijana wengi but mbona kama anafifia hivi, ngoma hiz tatu zilizotoka hivi karibuni mbili akishirikishwa

Nyie mnaonajeee
Hv wewe unaufahamu muziki?,au ndo ile uko timu fulani kwahiyo umeamua kuongea ili kujipa moyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom