Covid -19 mzee baba,ili gonjwa limevuruga ulimwengu.lazima afifie kidogo kwasababu Dimond ni mwanamuziki( taasisi )wa kimataifa hasa upande wa burudani ya muziki.Jamaaa namkubali Sana'a Sana'a anainspire vijana wengi but mbona kama anafifia hv ngoma hiz tatu zilizotoka hv karbun mbili akishirikishwaa
Nyie mnaonajeee
Hv wewe unaufahamu muziki?,au ndo ile uko timu fulani kwahiyo umeamua kuongea ili kujipa moyoJamaaa namkubali Sana'a Sana'a anainspire vijana wengi but mbona kama anafifia hivi, ngoma hiz tatu zilizotoka hivi karibuni mbili akishirikishwa
Nyie mnaonajeee