Kuna watu walitegemewa watajibiwa na nyimbo zao naona Mondi kapiga kimya kawakwepa.Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama Ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi UmrI
Mondi ni mfanya biashara,ukizingatia sasa hivi ana utitiri wa show ktk nchi za francophone countries,kaachia nyimbo ambayo inaendana na nchi hizo.