Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

Habarini.

Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama Ninamzidi Umri.

Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.

Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi UmrI
Kuna watu walitegemewa watajibiwa na nyimbo zao naona Mondi kapiga kimya kawakwepa.

Mondi ni mfanya biashara,ukizingatia sasa hivi ana utitiri wa show ktk nchi za francophone countries,kaachia nyimbo ambayo inaendana na nchi hizo.
 
Here’s the original version, usiishie copy tu... enjoy.

Kwani nani hajui hilo sebene ? Ndio ukaenda kusaka mpaka link man wangu ...jamaa kupita na hiko kipande hakufany nyimbo kua mbovu..ndio kazid kutisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom