Diamond Platnumz na Rayvanny wanawaburuza Wasanii wa Kibongo

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,525
7,374
235227762_4359529700809068_5434282019431170116_n.jpg

Hivi ndivyo Diamond na Rayvanny walivyowaachia gap kubwa la kuuza muziki wao duniani.

Siku zote kelele hazishindani na number. Namba hazidanganyi.

Uwa tunawaambia Diamond na Ray ni level nyingine wanapoachia muziki wanajua target yao. Watu mkaiponda sana album ya Ray kwa sababu hamjui mnaloongea tukawakaushia.
 
Kwa niaba ya team kibakuli & konde girl hii list hatuikubali coz wcb wamewalipa spotify wawaongezee stream.
 
View attachment 1888534
Hivi ndivyo Diamond na Rayvanny walivyowaachia gap kubwa la kuuza muziki wao duniani.

Siku zote kelele hazishindani na number. Namba hazidanganyi.

Uwa tunawaambia Diamond na Ray ni level nyingine wanapoachia muziki wanajua target yao. Watu mkaiponda sana album ya Ray kwa sababu hamjui mnaloongea tukawakaushia.
Kongole kwao, showbiz needs a lot of planning.
 
Muda na juhudi,miaka 5 ijayo hali itakuwa tofauti kabisa.

Maana sasa wasanii wameshtuka.
 
Duuh...! Harmonizes katupwa huko?. Kweli wasafi kiboko. Harmonize najikaza tu,ila moto anakiona
 
Duuh...! Harmonizes katupwa huko?. Kweli wasafi kiboko. Harmonize najikaza tu,ila moto anakiona
tatizo harmo kawekeza nguvu kubwa kwenye page za udaku ili aonekane mkubwa hadi kasahau kupromote kazi ambazo ndo zinadefine ukubwa wa msanii.
 
Ninavyojua maseeela huko mtaani kuna dhiki
Ndio maana siringishi ela na ninavyovimiliki
 
Back
Top Bottom