Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,776
- 24,211
DIAMOND PLATNUMZ, RAYVANNY NA ZUCHU, Watanzania Pekee Kwenye Tuzo Za Heades. Diamond amechaguliwa Kwenye Vipengere Viwili Vya Msanii Bora Wa Mwaka Africa Na Kipengere Cha Msanii Bora Afrika Mashariki, Rayvanny Na Zuchu Wanapambania Kipengere Cha Msanii Bora Afrika Mashariki.
Hivyo hii Ina maanisha industry ya muziki East Africa......ipo chini ya miamba mitatu
Vannboy
Platinumz
Na lioness ( zuchu)
NB: nyimbo hizi za kina sumu, haziwezi penetrate internationally.
Mmakonde chaliii
Hivyo hii Ina maanisha industry ya muziki East Africa......ipo chini ya miamba mitatu
Vannboy
Platinumz
Na lioness ( zuchu)
NB: nyimbo hizi za kina sumu, haziwezi penetrate internationally.
Mmakonde chaliii